TID, RECHO THT WADAIWA NI WAPENZI
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NXNqcYhhWEYLlPYt2JMfMTTHkE8YxdS7TBIv9w4PQKci0VdXCm1LkTZBD9-arOt4kf2E6H30QKFQNWFNQLfl0g/recho.jpg?width=650)
MALOVEE? Bosi wa Top Band, Khaleed Mohamed ‘TID’ au ‘Mzee Mnyama’ na mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’, wanadaiwa kuwa na uhusiano uliotafsiriwa ni wa kimapenzi, Ijumaa Wikienda limeinusa. Mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’ Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Nyota wa 'Empire' wadaiwa kuwa wapenzi
11 years ago
Bongo519 Jul
Lil Wayne na Christina Milian wadaiwa kuwa wapenzi!!
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7N3fV0znBcAXSS5XRWKCk87er3RN1C655ddsjCo8ey7Aa8ZLMLa-XO9Uy5OZNnS77HPME1nQUJmT2b5ZOsjapXn/linah.jpg)
LINAH: KWAHERI THT
10 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi09 Feb
tunda la ‘ticha’ Jento THT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-Dew*AV0NPxyHQwpQJavRYIyBpFzQhaR0-dqpKSiYWubBbNtA*40kVHLhsVqbUjOd1tN0mZHHZrfAUNLZLl0fQgJ/1.jpg?width=750)
THT KUAZIMISHA MIAKA 10 JANUARI 31 ESCAPE ONE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsp8urPulNFyWszvl8baPInqmYJH9Uz6fiOc49s5S2lZYafMG2lQoa6ZOB2cFGvugqby*I6grgwWPqgm9CIGVqNJ/THT1.jpg?width=650)
THT YALONDA MASTAA WAPYA 2014
10 years ago
CloudsFM15 Jan
THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.
Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...