Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TID, RECHO THT WADAIWA NI WAPENZI

MALOVEE? Bosi wa Top Band, Khaleed Mohamed ‘TID’ au ‘Mzee Mnyama’ na mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’, wanadaiwa kuwa na uhusiano uliotafsiriwa ni wa kimapenzi, Ijumaa Wikienda limeinusa. Mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’ Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nyota wa 'Empire' wadaiwa kuwa wapenzi

Nyota wawili wa filamu ya 'Empire' Adre Lyon na Anika Calhoun wamedaiwa kuwa wapenzi katika maisha yao ya kawaida

 

11 years ago

Bongo5

Lil Wayne na Christina Milian wadaiwa kuwa wapenzi!!

Lil Wayne ana watoto wanne ambao kila mmoja ana mama yake na sasa huenda akaongeza orodha ya ‘mababy mama’ iwapo uhusiano wake na Christian Milian ukiwa kweli. Mwezi mmoja baada ya kuachana na mpenzi wake Jas Prince, Christina Milian anadaiwa kuanzisha uhusiano na bosi wake wa Young Money Lil Wayne. Wawili hao walipigwa picha wakitembea […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

11 years ago

GPL

LINAH: KWAHERI THT

Stori: SHAKOOR jONGO
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini Afrika Kusini. Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ Akizungumza na Ijumaa msemaji wa...

 

10 years ago

GPL

THT WANATIMIZA MIAKA 10 LEO

Esterlina Sanga ‘Linah’. Mwasiti Almasi. Rachael Mapenzi.…

 

11 years ago

Mwananchi

tunda la ‘ticha’ Jento THT

Wahenga walisema: “Subira yavuta heri.”Ukweli wa kauli hiyo ya Kiswahili umedhihirika miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya maarufu Bongo Fleva kwani wapo waliovumilia wakapata mafanikio, ingawa pia wapo waliokata tamaa wakishindwa kusubiri kwa kutaka mafanikio ya haraka.

 

10 years ago

GPL

THT KUAZIMISHA MIAKA 10 JANUARI 31 ESCAPE ONE

Meneja Mkuu wa THT, Mwita Mwaikenda, akizungumza mbele ya waandishi wa habari leo namna watakavyoadhimisha sherehe za miaka 10 ya THT. Msanii wa Bongo Fleva nchini, Peter Msechu (katikati), akizungumzia upande wa burudani namna walivyojipanga kutoa burudani siku hiyo ya maadhimisho ya miaka 10 ya THT ndani ya Ukumbi wa Escape One.…

 

11 years ago

GPL

THT YALONDA MASTAA WAPYA 2014

Wanafunzi wapya walioingia kwa mwaka wa 2014 kwenye nyumba ya kukuzia vipaji nchini THT,wakiwa kwenye picha ya pamoja. Vijana hao wakiwa wamepozi ndani ya jengo la mazoezi ya kuimba na kucheza lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.…

 

10 years ago

CloudsFM

THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA

Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani