Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THT YALONDA MASTAA WAPYA 2014

Wanafunzi wapya walioingia kwa mwaka wa 2014 kwenye nyumba ya kukuzia vipaji nchini THT,wakiwa kwenye picha ya pamoja. Vijana hao wakiwa wamepozi ndani ya jengo la mazoezi ya kuimba na kucheza lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA WALIOTUTOA KIMASOMASO KIMATAIFA 2014

Diamond Platnumz Makala: Chande Abdallah
WAKATI tukimaliza mwaka 2014, wengi tunakumbuka matukio mbalimbali ya kusikitisha na machache ya kufurahisha, kama Watanzania tunapaswa kufurahia na kuwasapoti mastaa wachache waliofanikiwa kututangaza kimataifa kupitia fani na kazi zao. Wafuatao ni miongoni mwa mastaa hao: Idris Sultan.
Diamond Platnumz
Jamaa kupitia nyimbo zake amefanikiwa… ...

 

11 years ago

Michuzi

Germany mabinwga wapya wa kombe la dunia 2014

 Germany ndio mabingwa wa kombe la Dunia  2014 FIFA World Cup, wakinyakua kombe kwa mara ya nne katika historia yao baada ya kuwashinda  Argentina 1-0 kwa bao la muda wa nyoingeza la  Mario Gotze (pichani juu kushoto) katika uwanja wa Maracana huko Rio de Janeiro.
Mchezaji huyo aliyeingia kama mchezaji wa akiba aliweza kuua uwezekano wa kupigiana penati kwa bao lake la uamuzi baada ya timu hizo kutoka suluhu hadi mapumziko katika mchezo uliojaa kila aina ya msisimko. Bao lake hilo...

 

10 years ago

Michuzi

Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014

Na Mwandishi Wetu,Pangani  Timu ya soka ya Mkwaja FC imetwaa ubingwa wa kombe la Mwidau CUP mwaka 2014 baada ya kuifunga timu ya soka ya Kiman’ga kwa mabao 4-2 katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwera wilayani Pangani.  Mchezo huo ambao ulikuwa ni wakuvutanikuvute katika kipindi cha kwanza lakini timu ya Kiman’ga ilionyesha kuzidiwa uwezo kwa kuweza kuruhusu mvua ya magoli katika dakika za awali toka mpira kuanza. Mchezaji wa Mkwaja FC Masoud Ticha ndio alionekana kinara katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga mabingwa wapya 2014/2015 Tanzania

Timu ya Yanga imetwaa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa mwaka 2014/2015 kabla ya kumalizika ligi hiyo

 

10 years ago

Mwananchi

2014 mastaa waling’ara na ‘African Prints’

Wakati tunaelekea katika siku za mwisho kabla ya kufunga mwaka 2014 ni vyema tukaangalia mafanikio au mazuri ambayo tumeyashuhudia katika tasnia hii.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la matumaini 2014, mastaa waeleza watakavyokamua Taifa

matumainiiiiii

Stori: Centre Spread

ITAKUWA balaa! Siku chache kuelekea kwenye Tamasha la Matumaini, Agosti 8, mwaka huu, mastaa kibao watakaolipamba jukwaa litakalofungwa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, wameeleza jinsi gani.

yeminew

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.

Yemi Alade

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria ambaye huwa habahatishi, amesema: “Nitawapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo zangu zote kali ikiwemo iliyojizolea umaarufu kila kona ya Afrika, Johhny. Mashabiki wategemee...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Man City Mabingwa wapya wa Kombe la Capital One 2014

Timu ya Manchester City imeibuka na Ubingwa wa kombe la Capital One baada ya kuifunza mpira timu ya Sunderland kwa kuichabanga magoli 3-1 katika mchezo wa fainali uliochezwa uwanja wa Wembley,Machi 2,2014.

Katika mchezo huo uliokuwa ni mkali na wa kuvutia,Timu ya Sunderland ndio iliyokuwa ya kwanza kuona lango la Manchester City mnamo dakika ya 10 ya mchezo kupitia kwa Mchezaji wake,Fabio Borini katika kipindi cha kwanza.

Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Timu ya Manchester City...

 

10 years ago

Bongo5

Mastaa wa Bongo waliokuwa na ushawishi zaidi kwenye mitandao ya kijamii — 2014

Kampuni ya masuala ya teknolojia ya AF Group Tanzania imetoa orodha ya mastaa waliokuwa na ushawishi zaidi kwenye mitandao ya kijamii nchini. Methodology: Fan-base sum on Twitter, Facebook & Instagram in ‘000s). Hii ndio orodha yenyewe: 1. Nasib Abdul Juma @diamondplatnumz (score: 1,045) 2. Wema Sepetu @wema_sepetu (score: 653) 3. Millard Ayo @millardayo (score: 645) […]

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani