Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WALIOTUTOA KIMASOMASO KIMATAIFA 2014

Diamond Platnumz Makala: Chande Abdallah
WAKATI tukimaliza mwaka 2014, wengi tunakumbuka matukio mbalimbali ya kusikitisha na machache ya kufurahisha, kama Watanzania tunapaswa kufurahia na kuwasapoti mastaa wachache waliofanikiwa kututangaza kimataifa kupitia fani na kazi zao. Wafuatao ni miongoni mwa mastaa hao: Idris Sultan.
Diamond Platnumz
Jamaa kupitia nyimbo zake amefanikiwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

THT YALONDA MASTAA WAPYA 2014

Wanafunzi wapya walioingia kwa mwaka wa 2014 kwenye nyumba ya kukuzia vipaji nchini THT,wakiwa kwenye picha ya pamoja. Vijana hao wakiwa wamepozi ndani ya jengo la mazoezi ya kuimba na kucheza lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.…

 

10 years ago

Mwananchi

2014 mastaa waling’ara na ‘African Prints’

Wakati tunaelekea katika siku za mwisho kabla ya kufunga mwaka 2014 ni vyema tukaangalia mafanikio au mazuri ambayo tumeyashuhudia katika tasnia hii.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la matumaini 2014, mastaa waeleza watakavyokamua Taifa

matumainiiiiii

Stori: Centre Spread

ITAKUWA balaa! Siku chache kuelekea kwenye Tamasha la Matumaini, Agosti 8, mwaka huu, mastaa kibao watakaolipamba jukwaa litakalofungwa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, wameeleza jinsi gani.

yeminew

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade.

Yemi Alade

Diva wa muziki kutoka pande za Nigeria ambaye huwa habahatishi, amesema: “Nitawapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo zangu zote kali ikiwemo iliyojizolea umaarufu kila kona ya Afrika, Johhny. Mashabiki wategemee...

 

10 years ago

Bongo5

Mastaa wa Bongo waliokuwa na ushawishi zaidi kwenye mitandao ya kijamii — 2014

Kampuni ya masuala ya teknolojia ya AF Group Tanzania imetoa orodha ya mastaa waliokuwa na ushawishi zaidi kwenye mitandao ya kijamii nchini. Methodology: Fan-base sum on Twitter, Facebook & Instagram in ‘000s). Hii ndio orodha yenyewe: 1. Nasib Abdul Juma @diamondplatnumz (score: 1,045) 2. Wema Sepetu @wema_sepetu (score: 653) 3. Millard Ayo @millardayo (score: 645) […]

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DISEMBA 17-21, 2014 JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link, Abdulimalik Mollel, akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)
Kampuni ya Global Education Link (GEL) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Wizara ya Elimu na Ufundi pamoja na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) wameandaa maonyesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu (TIEE) yanayotarajiwa kufanyika Disemba 17 hadi  21 mwaka huu katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha moja ya tuzo za dhahabu ilizowahi kupata wakati wa mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam.
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani