Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


2014 mastaa waling’ara na ‘African Prints’

Wakati tunaelekea katika siku za mwisho kabla ya kufunga mwaka 2014 ni vyema tukaangalia mafanikio au mazuri ambayo tumeyashuhudia katika tasnia hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

3CHICKZ WANAKULETEA AFRICAN PRINTS "PAMBA ZA KIJANJA" KWA BEI POA...PIA NYWELE NA VIPODOZI VINAPATIKANA!



























3chickz wanakuletea viwalo vyenye ladha ya kiafrika kwa bei poa kabisaa. Pata kivazi chako kikali na cha kijanja. Usikose maana wajanja wote mujini wanazo kasoro wewe tu.
Kwa mawasiliano waweza kutupata katika namba +1(347)-663-0781 na pia unaweza kutu follow kwenye Instagram (3chicks_bahia) ili upate kuona mambo mazuri zaidi.SASA

 

10 years ago

GPL

MASTAA WANG’ARA TUZO ZA TEMEKE

  Ally Jay (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya kundi lake la 5 Stars. Said Fella (kushoto) akipokea moja ya tuzo alizokabidhiwa. KR Muller akipokea tuzo kwa niaba ya Juma Nature.…

 

11 years ago

Mwananchi

Waafrika vijana watakaong’ara Kombe la Dunia 2014

Katika Fainali za Kombe la Dunia 2014, bara la Afrika litawakilishwa na nchi tano ambazo ni Nigeria, Ghana, Cameroon, Algeria na Ivory Coast.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete kutunuku waliong’ara la 7, Kidato Nne 2014

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kutoa zawadi kwa wanafunzi, shule, halmashauri na mikoa iliyofanya vizuri katika ufaulu katika mitihani ya Darasa la Saba na Kidato cha Nne mwaka 2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Pitbull ang’ara uzinduzi Kombe la Dunia 2014

Kama uliangalia ufunguzi wa Kombe la Dunia ulipata bahati ya kumwona mwanamuziki Armando Christian Pérez mwenye umri wa miaka 33 ambaye jina lake la jukwaani anaitwa Pitbull, rapa mahiri kutoka nchini Marekani.

 

11 years ago

GPL

THT YALONDA MASTAA WAPYA 2014

Wanafunzi wapya walioingia kwa mwaka wa 2014 kwenye nyumba ya kukuzia vipaji nchini THT,wakiwa kwenye picha ya pamoja. Vijana hao wakiwa wamepozi ndani ya jengo la mazoezi ya kuimba na kucheza lililopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.…

 

10 years ago

GPL

MASTAA WALIOTUTOA KIMASOMASO KIMATAIFA 2014

Diamond Platnumz Makala: Chande Abdallah
WAKATI tukimaliza mwaka 2014, wengi tunakumbuka matukio mbalimbali ya kusikitisha na machache ya kufurahisha, kama Watanzania tunapaswa kufurahia na kuwasapoti mastaa wachache waliofanikiwa kututangaza kimataifa kupitia fani na kazi zao. Wafuatao ni miongoni mwa mastaa hao: Idris Sultan.
Diamond Platnumz
Jamaa kupitia nyimbo zake amefanikiwa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Diego sasa shwari, ang’ara dhidi ya El Salvador

Costa, ambaye anajiandaa kujiunga na Chelsea akitokea Atletico Madrid, hakucheza tangu alipotonesha misuli ya paja katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Floral prints: Mtindo maalumu kwa wanawake

Licha ya kuwepo maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia duniani, lakini ukweli ni kwamba kwenye tasnia ya mitindo mingi imekuwa ikijirudia .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani