Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timbo la Dhahabu laporomoka Colombia

Timbo la dhahabu limeporomoka na kuwafukia wachimba migodi 30 Colombia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa timbo iliyoporoka China ajiua

Shirika la habari la China, limetangaza kuwa mmiliki wa migodi ya madini aina ya jasi iliyoporomoka amepatikana amejitia kitanzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Daraja laporomoka Brazil

Watu wawili wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na Daraja mjini Belo Horizonte

 

9 years ago

Michuzi

SOKO LA HISA NCHINI LAPOROMOKA KWAASILIMIA 62.

Na Ally Daud –MAELEZOIdadi ya mauzo katika soko la hisa la Dar es salaam DSE limeshuka kwa asilimia 62 kutoka shilingi bilioni 6.4 hadi kufikia shilingi bilioni 2.4 ambapo zimeuzwa na kununuliwa katika soko zimeshuka kutoka milioni 4.3 hadi kufikia milioni 2.7.
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Miradi na Biashara waDar es salaam Stock Exchange  Bw. Patrick  Mususa alisema kuwa hata hvyo idadi ya mtaji katika soko umekuwa kutoka tilioni 21.9 hadi tilioni 22.3 ikiwa pia na idadi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jengo laporomoka na kuwaua watu Nigeria

Watu kadhaa wahofiwa kufariki mjini Lagos Nigeria baada ya jengo moja linalohusishwa na muhubiri mashuhuri kuanguka.

 

10 years ago

GPL

JENGO LA KIHISTORIA LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR‏

Jengo moja la gorofa laporomoka huko Zanzibar katika eneo la kihistoria Jaws Corner ndani ya manispaa ya mji mkongwe Zanzibar. Taarifa zinasema wananchi wa karibu na eneo hilo wakishirikiana na vikosi maalumu vya serikali vinaendelea kufanya jitihada mbali mbali katika eneo hilo ikiwemo kuhakikisha hakuna athari zaidi zitakazoweza kutokea. Baadhi ya shuhuda mmoja ameiambia mazrui media kuwa watu wana wasiwasi juu ya uwepo wa...

 

10 years ago

Michuzi

SOKO LA FILAMU NA MUZIKI LAPOROMOKA KWA KASI NCHINI

SAM_3481Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Taifa wa umoja wa wasambazaji wa kazi za Sanaa nchini, yaani ‘Tanzania Audio Visual Works Distributors,’ Baraka Nyanda akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha  juu ya kushuka kwa ubunifu miongoni mwa wasanii nchini ambako kumepelekea uwepo wa sinema na miziki hafifu isiyoweza kustahimili ushindani wa soko la kazi za burudani duniani anayefatia ni katibu wa shirika hilo Frank Martin, watatu ni James Mollel katibu tawi la Arusha pamoja na Gabriel Simbeye,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Colombia itapepetana na Brazil

Nyota wa Colombia James Rodriguez anatarajiwa kuibabashia Brazil katika mechi ya robo fainali

 

11 years ago

GPL

COLOMBIA YAICHACHAFYA UGIRIKI

Colombia wakishangilia bao la kwanza. Teofilo Gutierrez akiifungia bao la pili Colombia katika dakika ya 58. TIMU ya taifa ya Colombia imeishushia kichapo cha bao 3-0 Ugiriki katika mechi yao ya kundi C kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Wafungaji wa Colombia ni: Pablo Armero 5, Teofilo Gutierrez 58 na James Rodriguez 90. VIKOSI:
Colombia:… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast vs Colombia

Ivory Coast inachuana na Colombia katika mechi ya pili ya kundi C.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani