Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmiliki wa timbo iliyoporoka China ajiua

Shirika la habari la China, limetangaza kuwa mmiliki wa migodi ya madini aina ya jasi iliyoporomoka amepatikana amejitia kitanzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akizungumza na makamu wa Rais wa Jamhuri  ya Watu wa China Mh. Li Yuanchao ikulu jijini Dar es Salaam leo. -Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mmiliki wa kampuni kubwa ya kuzalisha saruji DANGOTE Industries Ltd Alhaji Aliko Dangote ikulu jijini Dar es Salaam leo  (picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

BBCSwahili

Timbo la Dhahabu laporomoka Colombia

Timbo la dhahabu limeporomoka na kuwafukia wachimba migodi 30 Colombia

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua

MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya dhahabu amejiua kwa kujipiga risasi kichwani. Amefanya hivyo wakati akiwakimbia wananchi wenye hasira na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya Kalole Kata ya Bugarama wilaya ya Kahama, baada ya kumjeruhi mguuni kwa kumpiga risasi mchimbaji mdogo wa machimbo hayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini humo, amefariki dunia baada ya kujijeruhi wa risasi.

 

10 years ago

Habarileo

Wauaji mmiliki wa shule mbaroni

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion, Anna Mizingi (48) kisha kumtumbukiza katika shimo la choo cha shule hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za mmiliki wa ardhi kisheria

Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mmiliki wa IPTL atema cheche

Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habirnder Seth Singh amesema anafikiria mara mbilimbili iwapo aendelee kuwekeza nchini au la, baada ya kuwapo kwa tuhuma kwamba alihusika na uchotaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa Alibaba atajirika zaidi

Mmiliki wa kampuni ya uuzaji wa bidhaa kupitia Internet Alibaba atajirika zaidi China kufuatia toleo la hisa za kampuni hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mmiliki na nahodha wa ferry mahakamani

Polisi nchini Ufilipino wamewafungulia mashtaka mmiliki na nahodha wa ferry ambayo ilizama na kuwaua zaidi ya watu 50.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani