Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timiza Akiba yawa suluhisho la kifedha kwa Watanzania

Ikiwa imekuwa kwa kiasi cha asilimia 30 kwa miezi mitatu pekee iliyopita, Timiza Akiba imeonyesha ni kwa kiasi ngani inaweza kuwa mkombozi kwa Watanzania kwa kujiwekea akiba ya fedha zao kwa njia rahisi, nafuu na salama kwa njia ya simu za mkononi.

Ikiwa imezindulia miaka miweili iliyopita kwa ushirikiano baina ya Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Airtel Money, Benki ya Letshego na watoa huduma ya teknolojia JUMO Tanzania, Timiza Akiba imekuwa ya kwanza Tanzania kwa kuwekeze fedha kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Timiza Akiba successfully encourages Tanzanians to save

Airtel and Letshego Bank Tanzania partnered with financial technology company JUMO in 2018 to introduce the first fee-free, interest-bearing mobile money savings account called Timiza Akiba. The initial aim – to drive a savings culture among the people of Tanzania and help them reach their business or personal financial goals – is showing signs of sustained success.
As a paperless and safe mobile-centric service, Timiza Akiba allows Airtel customers to set up a savings account and save any...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba  ya fedha zao benki.

Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA WENGI HAWAWEKI AKIBA - SABASABA MOSHINGI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta ya Akiba, Kenya, Bi.Anne Karanja, (Katikati), na Mkurugenzi Mtendaji Benki ya Posta Uganda, Bw. Stephene Mukweli, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa ufunguzi wa mkutano wan ne wa Bodi ya Wadhamini, ya Umoja wa Mabenki ya Afrika Mashariki, ASBEA, uliomalizika Novemba 13, 2015 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.  Wajumbe wakimsikiliza mtoa mada, Mkurugeni...

 

9 years ago

Michuzi

FNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI

Meneja wa Wateja Binafsi wa First National Bank, Francois Botha na Meneja wa Usambazaji na Matawi wa benki hiyo wakizindua mpango maalum unaohamasisha Watanzania kujiwekea akiba na kujiwekea mustakabali salama kifedha. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es salaam leo Oktoba 1, 2015.
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.

Wito huo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, kupunguzwa kwa magavana ni suluhisho kwa mzozo wa Sudan Kusini?

Hatua ya rais wa Sudan kusini Salva Kiir kupunguza magavana italeta amani ya kudumu?

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?

Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

5 years ago

Michuzi

RAHA LIQUID TELECOM YATOA SULUHISHO KWA WATEJA WAKE

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

RAHA Liquid Telecom inayojihusisha na utoaji wa huduma ya intanet imesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inaendelea kupambana dhidi ya virusi vya Corona, wao wanaongozwa na imani kila mtu kwenye Bara la Afrika ana haki ya kuungwanishwa na huduma ya intanet

Imesema kadri zinapochukuliwa hatua dhidi ya maambukuzi ya COVID-19 (Coronavirus), wanakumbuka mahitaji yanayoongezeka na hivyo mtandao wa uhakika na uwezo wa kufanya kazi majumbani, kujifunza na matumizi ya...

 

5 years ago

Michuzi

BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona


Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.




Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani