Timiza Akiba yawa suluhisho la kifedha kwa Watanzania
Ikiwa imekuwa kwa kiasi cha asilimia 30 kwa miezi mitatu pekee iliyopita, Timiza Akiba imeonyesha ni kwa kiasi ngani inaweza kuwa mkombozi kwa Watanzania kwa kujiwekea akiba ya fedha zao kwa njia rahisi, nafuu na salama kwa njia ya simu za mkononi.
Ikiwa imezindulia miaka miweili iliyopita kwa ushirikiano baina ya Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Airtel Money, Benki ya Letshego na watoa huduma ya teknolojia JUMO Tanzania, Timiza Akiba imekuwa ya kwanza Tanzania kwa kuwekeze fedha kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3VC5FGXjy4o/XqE6jdBqYxI/AAAAAAALn7s/KBteflQgpQMtUTMHv8Ph15BpycDf3DgdACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Timiza Akiba successfully encourages Tanzanians to save
![](https://1.bp.blogspot.com/-3VC5FGXjy4o/XqE6jdBqYxI/AAAAAAALn7s/KBteflQgpQMtUTMHv8Ph15BpycDf3DgdACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
As a paperless and safe mobile-centric service, Timiza Akiba allows Airtel customers to set up a savings account and save any...
9 years ago
StarTV05 Jan
Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba ya fedha zao benki.
Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QSZAts0NwD8/VkbeUqRm7aI/AAAAAAAAckk/DBMs07jUfgE/s72-c/tpb%2B%252813%2529.jpg)
WATANZANIA WENGI HAWAWEKI AKIBA - SABASABA MOSHINGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QSZAts0NwD8/VkbeUqRm7aI/AAAAAAAAckk/DBMs07jUfgE/s640/tpb%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FN0FMRplgvk/Vkbes8SsWjI/AAAAAAAAckw/25rxqSagiG4/s640/tpb%2B%25285%2529.jpg)
9 years ago
MichuziFNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.
Wito huo...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Je, kupunguzwa kwa magavana ni suluhisho kwa mzozo wa Sudan Kusini?
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KvMKkkPBIvw/XoNgQTQfgoI/AAAAAAALluA/yjvB7iCnrxQ4ZEgieeDZyQnfyWErCGSqACLcBGAsYHQ/s72-c/7d8f109a-9c4a-47f1-87d2-d76e538455cb.jpg)
RAHA LIQUID TELECOM YATOA SULUHISHO KWA WATEJA WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvMKkkPBIvw/XoNgQTQfgoI/AAAAAAALluA/yjvB7iCnrxQ4ZEgieeDZyQnfyWErCGSqACLcBGAsYHQ/s400/7d8f109a-9c4a-47f1-87d2-d76e538455cb.jpg)
RAHA Liquid Telecom inayojihusisha na utoaji wa huduma ya intanet imesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inaendelea kupambana dhidi ya virusi vya Corona, wao wanaongozwa na imani kila mtu kwenye Bara la Afrika ana haki ya kuungwanishwa na huduma ya intanet
Imesema kadri zinapochukuliwa hatua dhidi ya maambukuzi ya COVID-19 (Coronavirus), wanakumbuka mahitaji yanayoongezeka na hivyo mtandao wa uhakika na uwezo wa kufanya kazi majumbani, kujifunza na matumizi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wgXsEeuJdfk/Xp6OEQosbbI/AAAAAAALnrc/LShHFuL7PSsIrSza13UIbHYmJiQvoQV7QCLcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona
Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...
10 years ago
VijimamboSHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...