timu ya african boys ya kitope ndio mabingwa wa kombe la zaweda
![](http://2.bp.blogspot.com/-1gLiPf81H7s/U7BNFyj-71I/AAAAAAAFtec/oD3aolA6NZU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Na Othman Khamis Ame, OMPR Timu ya Soka ya African Boys ya Kijiji cha Kitope imetawazwa ubingwa wa mashindao ya Kombe la Zaweda baada ya kuitandika timu ya New Star ya Kiwengwa kwa Magoli 4 -3 katika pambano la fainal ya mashindano hayo yaliyoshirikisha Timu 12 za Soka za Jimbo la Kitope. African Boys ya Kitope ilibeba kombe hilo la Zaweda baada ya kutoka suluhu ya bila kwa bila na wapinzani wake New Star ya kiwengwa kwenye dakika 90 za mchezo huo na kulazimika kupigiana Penalti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Mar
Timu ya Man City Mabingwa wapya wa Kombe la Capital One 2014
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UEYRPLFIkk3W09wuZtCymjzuCQeLKIAJOblfvREcxSsOlKwdqLgXzX8aIiSkXpmRmTax8yrRwLD7Ujjytu2h8l7xk8mzz-qAsdH9529nHL6yEDyrFQRO8XvcWYDJq-VtTUkbBZqpsi4x-mUkwcKs-7VjmrLEu6kIu50-_594r-qljUyL6m_HYH93oZ-pZUf9l6il5d83jIURB84ncV7ovdPEZ3VJWh_AIlcL2VuG22TtzLM2Z1xfETBmGJuEYSVXiaXYTkWvHpyru0sm8ce1D7ay1yq1h2y7S8klX8V2X_fvgcfKoWygPOe1avNcOt1cdhO_Qg1va981qJXXWSiua2pVPZfm3v_09zxaX3RLvcjwfZDumZBa3V52Tk7n80QB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fi4.mirror.co.uk%2Fincoming%2Farticle3199639.ece%2FALTERNATES%2Fs2197%2FManchester-City-v-Sunderland-Capital-One-Final-3199639.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katika mchezo huo uliokuwa ni mkali na wa kuvutia,Timu ya Sunderland ndio iliyokuwa ya kwanza kuona lango la Manchester City mnamo dakika ya 10 ya mchezo kupitia kwa Mchezaji wake,Fabio Borini katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Timu ya Manchester City...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki mabingwa wa kombe la UVCCM
Mlezi wa jumuiya ya wazazi (CCM) wilaya ya Ikungi, Elibariki Kingu akizumgumza na wapenzi wa soka na wachezaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali kati ya timu ya soka ya kata ya Irisya na Mkiwa, uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki,imetawazwa kuwa mabingwa wa kombe la UVCCM wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kwa kipindi cha mwaka 2014/2015, baada ya kuichapa timu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-theSDBKpoDE/VcaicsOH3hI/AAAAAAAHvZM/EEPpUTwgx4Q/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
timu ya Mbaspo Academy ndio mabingwa wa michuano ya Airtel Rising Star jijini Mbeya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-theSDBKpoDE/VcaicsOH3hI/AAAAAAAHvZM/EEPpUTwgx4Q/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g_1L6Op6A6s/Vcaicnlf3zI/AAAAAAAHvZQ/e6kaPucHlG4/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
5 years ago
MichuziMabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor, kuishuhudia Liverpool 'live'
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
VijimamboTANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s72-c/tt.jpg)
TANZANIA BOYS YANYAKUA KOMBE LA MIAKA 40 YA MSUMBIJI JIJINI MAPUTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s640/tt.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Australia ndio mabingwa wa Kriketi
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Kenya ndio mabingwa wa IAAF