Timu ya Que Bac Yatwaa Ubingwa wa Mbagala Cup, Yazawadiwa..!
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa pamoja na Mlezi wa Mashindano hayo, Emmanuel John wakikabidhi zawadi ya mbuzi kwa washindi.
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa akikabidhi zawadi ya jezi na mpira kwa washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0396.jpg)
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa akikabidhi zawadi ya jezi na mpira kwa washindi.
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa pamoja na Mlezi wa Mashindano hayo, Emmanuel John na wageni wa meza kuu wakifuraia jambo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_02531.jpg)
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0399.jpg?width=650)
TIMU YA QUE BAC YATWAA UBINGWA WA MBAGALA CUP
11 years ago
Michuzi11 Aug
Timu ya Quebec Yatwaa Ubingwa wa Mbagala Cup
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa pamoja na Mlezi wa Mashindano hayo, Emmanuel John wakikabidhi zawadi ya mbuzi kwa washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0399.jpg)
![Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari (TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares Magesa akikabidhi zawadi ya jezi na mpira kwa washindi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0396.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s640/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2WFohPZhZl0/Vb5VsqDnH4I/AAAAAAAHtYI/udQI2KGBnpM/s640/MMGL0595.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s72-c/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
Manchester City yatwaa ubingwa wa Uingereza
![](http://4.bp.blogspot.com/-7uSGFwEqGhA/U3AOhccHPUI/AAAAAAAFg_U/VDsAHCyFdY4/s1600/article-2625679-1DC0C65900000578-809_638x450.jpg)
10 years ago
MichuziKinondoni yatwaa ubingwa ARS 2014
10 years ago
StarTV09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa wa Afrika
vory Coast wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kufuinga Ghana kwa penalti 9 – 8 katika mchezo wa fainali ulichezwa katika uwanja wa Estadio de Bata huko Equatorial Guinea.
cialis nitratoMlinda Mlango wa Ivory Coast Boubacar Barry ambaye alikuwa hapangwi mara kwa mara lakini ndiye aliyeibeba Ivory Coast baada ya kudaka penati na kufunga penalti ya mwisho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGUndM1*RdKUUm7QHBnwCLUnTTmMMcar1OsEEnQLl9414vnZA4ZxPK6NjN9V4oMnpbPmJZNG72jUwRnoQ9WWUtD/mancity.jpg?width=600)
MAN CITY YATWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s72-c/blue.jpg)
Bluefins yatwaa ubingwa kuogelea ya Mwanza
![](https://1.bp.blogspot.com/-r_d8f0aJkPQ/XnEdOcaVdbI/AAAAAAALkME/Wee6dbP0mDk_JEtIOtChIkMdbGvPcX_CgCLcBGAsYHQ/s640/blue.jpg)
Waogeleaji wa klabu ya Bluefins wakishangilia baada ya kushinda mashindano ya kuogelea ya Mwanza yaliyofanyika kwenye bwawa la kuogelea la Isamilo.
**************************
Dar es Salaam. Klabu ya Bluefins ya Dar es Salaam imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya kuogelea ya mkoa wa Mwanza yajulikanayo kwa jina la Isamilo swimming championships.
Kwa ushindi huo, Bluefins inakuwa klabu pekee Tanzania kufanikiwa kutwaa ubingwa mara mbili katika mashindano matatu yaliyokwisha fanyika...