Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLP member for presidency

>Tanzania Labour Party (TLP) will field a presidential candidate in the forthcoming general election, it has been said.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanachama TLP walia na Mrema

WANACHAMA wa Tanzania Labour Party (TLP), wamemjia juu Mwenyekiti wao, Augustino Mrema, kwa madai anang’ang’ania madaraka huku akishindwa kuitisha uchaguzi mkuu kama katiba yao inavyoeleza. Kutokana na hali hiyo, wanachama...

 

10 years ago

Mtanzania

Mrema avuliwa uanachama TLP

mremaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na MTANZANIA Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.
Mwenyekiti huyo alisema kuwa mbali na Mrema wengine waliovuliwa uanachama ni Hamisi...

 

10 years ago

Habarileo

Mrema akanusha kufukuzwa TLP

Mrema.MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) Augustino Mrema ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Vunjo amekanusha kufukuzwa katika chama chake.

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP

mremaNa Safina Sarwatt, Moshi

MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.

Alisema mgombea huyo kupitia  Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.

Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...

 

9 years ago

Daily News

TLP unveils development priorities


TLP unveils development priorities
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) presidential candidate Mr Macmillan Lyimo has urged Tanzanians to elect him because his party's policies can transform the country's development. Addressing the public at the launch of the TLP election campaign at Njia ...

 

10 years ago

Michuzi

SIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA


Mwenyekiti   wa chama cha Tnzania Labour Part (TLP) Agustino Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo)   katika mkutano uiliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MELEZO kuhusu kukanusha  kuwa yeye amefukuzwa TLP,Kushoto Mkurugenzi wa Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo,Kulia ni Katibu Mkuu wa TLP,Nancy Mrikariya.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.
Mrema aliyasema hayo...

 

10 years ago

Michuzi

SING’OKI NG’O TLP- MREMA

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP,Agustine Lyatonga Mrema amesema hangoki ng’o  katika nafasi ya uenyekiti TLP.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magomeni jijini Dar es salaam leo,Mrema amesema hajavunja katiba ya TLP hivyo yeye ni mwenyekiti halali.
Mrema amesema watu wanampiga majungu wakiwemo na UKAWA katika kuhakikisha TLP inasambaratika ,lakini hawataweza pamoja na kikundi hicho cha panya road.
Amesema kikundi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa TLP amfagilia Waziri Dk Magufuli

>Mwenyekiti wa Chama cha TLP mkoani Mara, Mafwili Munyaga amewafagilia Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola kuwa wanafanya kazi nzuri huku akimwomba Magufuli agombee nafasi ya juu kwa madai ni mchapakazi.

 

9 years ago

TheCitizen

TLP promises to improve Dar economy

The Tanzania Labour Party (TLP) yesterday launched its presidential campaigns in Dar es Salaam and promised to make Tanzania Africa’s biggest economy.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani