Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TNBC urges Njombe to use council

Officials at district level in Njombe Region have been urged to take advantage of a new regional business council to forge closer relations between private and public sectors and solve problems facing them. By doing so, they will be able to utilize opportunities surrounding them and play an active role in Tanzania’s development agenda.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

TNBC urges increased investment in education


TNBC urges increased investment in education
Daily News
THE private sector has been urged to continue investing in education to serve the ever growing number of youth in the country. The Executive Secretary of Tanzania National Business Council (TNBC), Eng. Raymond Mbilinyi, said education was one of ...

 

10 years ago

IPPmedia

Njombe council closes nursery


Njombe council closes nursery
IPPmedia
Njombe Town Council closed a nursery school belonging to Chadema local government chairman on Thursday kicking out over 100 kids on the streets for allegedly violating legal procedure in what the opposition party's sympathisers say is a move based on ...

 

11 years ago

Daily News

Construct more laboratories, Coast RC urges council authorities


Daily News
Construct more laboratories, Coast RC urges council authorities
Daily News
DISTRICT commissioners in Coast Region have been urged to find ways to finish the serious problem of shortage of laboratories in government secondary schools in the region, it has been learnt. The call was made on Sunday by the Coast Regional ...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.

Mgombea Ubunge wa jimbo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TNBC na mtandao wake kila mkoa

KATIKA kuhakikisha haibaki nyuma kwenye suala la uwekezaji, Tanzania imekuwa ikijitahidi kuhakikisha kuwa mazingira ya biashara yanaboreshwa katika viwango vinavyotakiwa. Moja ya juhudi hizo ni kuanzisha mabaraza ya biashara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TNBC yalipa somo Baraza la Biashara Manyara

WAJUMBE wa Baraza la Biashara la Mkoa wa Manyara wameshauriwa kuchapa kazi kwa bidii na kuongeza ushirikiano miongoni mwao, ili kusaidia kujenga mazingira bora ya biashara na uwekezaji mkoani hapa....

 

11 years ago

Mwananchi

TNBC: Mikoa iweke vituo kusaidia wawekezaji

Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) limeyashauri mabaraza ya biashara ya mikoa ya nyanda za juu kusini kuanzisha vituo vitakavyotoa huduma za pamoja ili kukuza uwekezaji katika maeneo yao.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS DKT. KIKWETE KUENDESHA MKUTANO WA TISA WA TNBC KESHO

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRAIS Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuendesha kikao cha 9 cha Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) kesho jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kitaangalia jinsi ya kutekeleza kwa haraka maazimio ya mkutano wa 8 wa baraza hilo hasa katika kuimarisha mazingira ya biashara na kujenga sekta bora zaidi ya utalii.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam na TNBC, mkutano huo utahusisha mawaziri, makatibu wakuu, wafanyabiashara na wawekezaji...

 

9 years ago

Michuzi

MKAKATI KABAMBE KUIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA, UTALII MBIONI-TNBC

 Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamHatua thabiti za utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Nane wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) zinatarajiwa kujulikana wiki chache zijazo.
Maazimio hayo yanalenga hasa kuimarisha mazingira ya biashara nchini na sekta ya utalii.
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa TNBC, Bw. Raymond Mbilinyi (Pichani) alisema hatua za utekelezaji maazimio mbalimbali ya kuimarisha sekta hizo zitajulikana katika mkutano wa 9 wa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani