Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TNBC: Mikoa iweke vituo kusaidia wawekezaji

Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) limeyashauri mabaraza ya biashara ya mikoa ya nyanda za juu kusini kuanzisha vituo vitakavyotoa huduma za pamoja ili kukuza uwekezaji katika maeneo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Rais abadilisha vituo wakuu wa mikoa, wapo wapya

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi nyingine.

Taarifa iliyotolewa mjini Dodoma jioni ya jana, Jumatano, Novemba 5, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa, Wakuu wapya wa Mikoa ni Bi. Halima Omari Dendego ambaye anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dkt. Ibrahim Hamisi Msengi ambaye anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Bi....

 

11 years ago

Dewji Blog

WAMA na Balozi wa Jamuhuri ya watu wa China kufanya ziara mikoa ya kanda ya ziwa kusaidia jamii

Picha 1

Mkurugenzi wa Uboreshaji Afya Wama, Dkt.Sarah Maongezi (Kulia) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu ushirikiano uliopo  baina ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo pamoja na Jamuhuri ya Watu wa China nchini katika kusaidia wananchi ikiwemo ziara wanaoyotarajia kuifanya katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kuanzia tarehe 12 hadi 19 Aprili mwaka huu,Katika ni katibu wa Balozi wa China nchini,Ren Zhihong na Meneja Mawasiliano wa Wama Philomema Marijani.

Picha 2

Katibu wa  Balozi wa...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.

Benki ya Exim sambamba na wafanyakazi wa benki hiyo hii leo wamekabidhi msaada ya vyakula kwenye vituo vinne vya kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu vilivyopo katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Mtwara na Tanga.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI IWEKE KIPAUMBELE KWENYE LISHE

Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokua la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu  jijini Arusha ,Petter Bayo (kulia)  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo,Katikati ni Mratibu wa Angonet ,Petro Ahham ,kushoto ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo(habari picha na libeneke la kaskazini blog)
Serikali imetakiwa kuweka vipaumbele katika masuala ya lishe ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iweke dawati la TAKUKURU Hazina — Ngeleja

BUNGE limeishauri serikali kuweka dawati maalumu la maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwenye Wizara ya Fedha, ili kudhibiti mianya ya ubadhirifu wa fedha za miradi...

 

10 years ago

Habarileo

Sanya: Serikali iweke nembo katika tanzanite

 Mbunge wa Mji Mkongwe, Ibrahimu Mohamed SanyaSERIKALI imeshauriwa kuweka nembo maalumu katika madini ya tanzanite ili kuepuka wizi unaoendelea kufanywa na nchi mbalimbali na kujipatia mapato tofauti na Tanzania inayozalisha madini hayo pekee.

 

10 years ago

TheCitizen

TNBC urges Njombe to use council

Officials at district level in Njombe Region have been urged to take advantage of a new regional business council to forge closer relations between private and public sectors and solve problems facing them. By doing so, they will be able to utilize opportunities surrounding them and play an active role in Tanzania’s development agenda.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA

Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika, ameomba ripoti za kamati za uchunguzi zilizoundwa na mawaziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta, kuhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ziwekwe hadharani.Amesema kuwekwa hadharani kwa ripoti hizo kutaondoa usiri na kusaidia kubaini ufisadi uliokithiri katika mamlaka hiyo ili hatua za kuwasimamisha vigogo wa TPA na wa Mamlaka

 

10 years ago

Daily News

TNBC urges increased investment in education


TNBC urges increased investment in education
Daily News
THE private sector has been urged to continue investing in education to serve the ever growing number of youth in the country. The Executive Secretary of Tanzania National Business Council (TNBC), Eng. Raymond Mbilinyi, said education was one of ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani