TNBC: Mikoa iweke vituo kusaidia wawekezaji
Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) limeyashauri mabaraza ya biashara ya mikoa ya nyanda za juu kusini kuanzisha vituo vitakavyotoa huduma za pamoja ili kukuza uwekezaji katika maeneo yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais abadilisha vituo wakuu wa mikoa, wapo wapya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi nyingine.
Taarifa iliyotolewa mjini Dodoma jioni ya jana, Jumatano, Novemba 5, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa, Wakuu wapya wa Mikoa ni Bi. Halima Omari Dendego ambaye anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dkt. Ibrahim Hamisi Msengi ambaye anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Bi....
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
WAMA na Balozi wa Jamuhuri ya watu wa China kufanya ziara mikoa ya kanda ya ziwa kusaidia jamii
Mkurugenzi wa Uboreshaji Afya Wama, Dkt.Sarah Maongezi (Kulia) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu ushirikiano uliopo baina ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo pamoja na Jamuhuri ya Watu wa China nchini katika kusaidia wananchi ikiwemo ziara wanaoyotarajia kuifanya katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kuanzia tarehe 12 hadi 19 Aprili mwaka huu,Katika ni katibu wa Balozi wa China nchini,Ren Zhihong na Meneja Mawasiliano wa Wama Philomema Marijani.
Katibu wa Balozi wa...
5 years ago
MichuziBenki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziSERIKALI IWEKE KIPAUMBELE KWENYE LISHE
Serikali imetakiwa kuweka vipaumbele katika masuala ya lishe ili...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Serikali iweke dawati la TAKUKURU Hazina — Ngeleja
BUNGE limeishauri serikali kuweka dawati maalumu la maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwenye Wizara ya Fedha, ili kudhibiti mianya ya ubadhirifu wa fedha za miradi...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Sanya: Serikali iweke nembo katika tanzanite
SERIKALI imeshauriwa kuweka nembo maalumu katika madini ya tanzanite ili kuepuka wizi unaoendelea kufanywa na nchi mbalimbali na kujipatia mapato tofauti na Tanzania inayozalisha madini hayo pekee.
10 years ago
TheCitizen16 Sep
TNBC urges Njombe to use council
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-FjsMW6f2LSM/VmdzfuvoWGI/AAAAAAAAXX0/pM2WEqq5XJU/s72-c/Pg-4.jpg)
KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA
10 years ago
Daily News21 Apr
TNBC urges increased investment in education
Daily News
THE private sector has been urged to continue investing in education to serve the ever growing number of youth in the country. The Executive Secretary of Tanzania National Business Council (TNBC), Eng. Raymond Mbilinyi, said education was one of ...