Serikali iweke dawati la TAKUKURU Hazina — Ngeleja
BUNGE limeishauri serikali kuweka dawati maalumu la maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwenye Wizara ya Fedha, ili kudhibiti mianya ya ubadhirifu wa fedha za miradi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI IWEKE KIPAUMBELE KWENYE LISHE
Serikali imetakiwa kuweka vipaumbele katika masuala ya lishe ili...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Sanya: Serikali iweke nembo katika tanzanite
SERIKALI imeshauriwa kuweka nembo maalumu katika madini ya tanzanite ili kuepuka wizi unaoendelea kufanywa na nchi mbalimbali na kujipatia mapato tofauti na Tanzania inayozalisha madini hayo pekee.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-FjsMW6f2LSM/VmdzfuvoWGI/AAAAAAAAXX0/pM2WEqq5XJU/s72-c/Pg-4.jpg)
KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA
Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika, ameomba ripoti za kamati za uchunguzi zilizoundwa na mawaziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta, kuhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ziwekwe hadharani.Amesema kuwekwa hadharani kwa ripoti hizo kutaondoa usiri na kusaidia kubaini ufisadi uliokithiri katika mamlaka hiyo ili hatua za kuwasimamisha vigogo wa TPA na wa Mamlaka
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa amekomba fedha hazina na kuiacha Serikali bila fungu lolote.
Hayo yamesemwa jijini dare es salaam na Kamishina wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha Bwa. John Cheyo huku akiwataka wananchi kupuuza habari hiyo kwani hazina ukweli wowote.
“Hazina inazo pesa za kutosha na tunajivunia kufanya uchaguzi wa mwaka huu, kununua mashine za BVR...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-99MQay51t7U/VIaxGOQjBNI/AAAAAAAG2LM/2INpVV8jASU/s72-c/01b.jpg)
Hazina yapamba tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-99MQay51t7U/VIaxGOQjBNI/AAAAAAAG2LM/2INpVV8jASU/s1600/01b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWo9JEoxj8I/VIaxGTMMoGI/AAAAAAAG2LQ/TR5ETbSIHjw/s1600/02.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OlH1FQgaK9AxkcBKfOJFEEBdes5tkoX7-Q89Dg65bIvix5ORcVwFPMM1h58dQx86omYZmMzcEk4LLVW-c*p*dF2/williamngeleja.jpg?width=650)
NGELEJA: SERIKALI ZA MITAA TUMEWAKIMBIZA WAPINZANI
Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja. Stori: Erick Evarist
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja ameweka wazi kuwa pamoja na ushindani kuwa mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika hivi karibuni, anajivunia ushindi mzito walioupata kupitia chama chake. Uchaguzi huo ulifanyika nchi nzima Desemba 14, mwaka huu ambapo licha ya kasoro ndogondogo zilizojitokeza katika baadhi ya maeneo na kusababisha...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Ngeleja: Mjadala wa katiba usiwe wa Serikali tatu tu
>Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wasijikite katika kujadili suala la muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano tu, bali waangalie pia masuala mengine yanayogusa masilahi ya nchi.
10 years ago
GPLSERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA
Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mh. Patrick Tsere Akizungumza na waandishi wa Habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi. Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi.…
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Utafiti wa Takukuru kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa haujafanyiwa kazi
Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka jana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ilifanya utafiti kwa lengo la kutoa ushauri kwa mamlaka zinazohusika juu ya namna bora ya kudhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania