TOC yatoa tahadhari kwa vyama
Dar es Salaam. Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema itatoa mamlaka kamati yake ya Ufundi kuteua wachezaji watakaoiwakilisha nchi kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola endapo vyama vya michezo vitashindwa kuwateua wachezaji wao wenye viwango hadi Jumamosi hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
TBS yatoa tahadhari kwa waagizaji magari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s72-c/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
TMA yatoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu wa Mvua za Masika
![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s640/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uU5B2aivacU/Xph-3OhbB_I/AAAAAAALnMg/OeGc1lpEbVQu3mOS3hX_5HcPOqHl_OzhACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TMA YATOA TAHADHARI YA KUNYESHA MVUA KUBWA KWA SIKU NNE MFULULIZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uU5B2aivacU/Xph-3OhbB_I/AAAAAAALnMg/OeGc1lpEbVQu3mOS3hX_5HcPOqHl_OzhACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imetoa tahadhari ya kunyesha kwa Mvua kubwa ndani ya siku nne kuanzia kesho Aprili 17, 2020.
Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 16, 2020 jijini Dar es Salaam na Meneja wa Kituo Kikuu cha Utabiri wa Mamlaka hiyo, Samwel Mbuya ambae amesema amesema mvua hiyo ya siku nne inatarajia kunyesha kuanzia ya April 17 hadi 20 mwaka huu.
Aidha ametaja maeneo yanayotarajia kupata vipindi vya mvua kubwa ni pamoja na Mkoa wa...
9 years ago
MichuziTFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s72-c/SSRA%2Blogo.png)
SSRA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI (TUCTA) MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s640/SSRA%2Blogo.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jNPWGXKyPEU/Vg11NMaDOmI/AAAAAAABePE/IfFgrE_kc-g/s640/Ansgar%2BMushi.png)
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao.
Mbali na hilo, waajiri wa metakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao, kujiunga na mfuko wasio upenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza.
Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Marekani yatoa tahadhari
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Tanesco yatoa tahadhari
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limewataka wananchi kuacha tabia ya kujenga na kufanya biashara chini ya nyaya za umeme kwani ni hatari kwa maisha yao. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Hali ya Hewa yatoa tahadhari
MKURUGENZI wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Hamza Kabelwa, ametoa tahadhari ya kuwepo mvua kubwa katika kipindi kinachoishia mwezi huu na Februari. Akizungumza...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab