Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TOC yatoa tahadhari kwa vyama

Dar es Salaam. Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema itatoa mamlaka kamati yake ya Ufundi kuteua wachezaji watakaoiwakilisha nchi kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola endapo vyama vya michezo vitashindwa kuwateua wachezaji wao wenye viwango hadi Jumamosi hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TBS yatoa tahadhari kwa waagizaji magari

Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limetoa tahadhari kwa waagizaji wa magari kutoka Japan na Falme za Kiarabu kuzingatia sharti la ukaguzi wa magari husika kabla hawajayaingiza nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TMA yatoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu wa Mvua za Masika

Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA )imetoa utabir wake wa Mvua  za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo  zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

TMA YATOA TAHADHARI YA KUNYESHA MVUA KUBWA KWA SIKU NNE MFULULIZO

Na Karama Kenyunko globu ya jamii.

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imetoa tahadhari ya kunyesha kwa Mvua kubwa ndani ya siku nne kuanzia kesho Aprili 17, 2020.

Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 16, 2020 jijini Dar es Salaam na Meneja wa Kituo  Kikuu cha Utabiri wa Mamlaka hiyo, Samwel Mbuya  ambae amesema amesema mvua hiyo ya siku nne inatarajia kunyesha kuanzia ya April 17 hadi 20 mwaka huu.

Aidha ametaja maeneo yanayotarajia kupata vipindi vya mvua kubwa ni pamoja na Mkoa wa...

 

9 years ago

Michuzi

TFDA YATOA TAHADHARI YA KUWEPO KWA VIPODOZI VYENYE VIAMBATO VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA SERIKALI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya TFDA Dar es Salaam leo, wakati akitoa tahadhari ya uwepo katika soko wa vipodozi vyenye viambato vilivyopigwa marufuku na Serikali. Kulia ni Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu. Mkurugenzi wa Dawa  na Bidhaa Nyongeza, Fimbo Mitangu (kushoto), akizungumza katika mkutano huo huku akionesha moja ya kopo lenye kipodozi vilivyopigwa...

 

9 years ago

Michuzi

SSRA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI (TUCTA) MKOANI DODOMA

Mkurugenzi wa Utafiti, Tathmini na Sera wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ansgar Mushi.
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao. 
Mbali na hilo, waajiri wa metakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao, kujiunga na mfuko wasio upenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza. 
Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa tahadhari

Serikali ya Marekani imetoa tahadhari ya kusafiri duniani kote kwa raia wake, ikiwaonya kuwepo kwa ongezeko la tishio la kigaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yatoa tahadhari

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limewataka wananchi kuacha tabia ya kujenga na kufanya biashara chini ya nyaya za umeme kwani ni hatari kwa maisha yao. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hali ya Hewa yatoa tahadhari

MKURUGENZI wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Hamza Kabelwa, ametoa tahadhari ya kuwepo mvua kubwa katika kipindi kinachoishia mwezi huu na Februari. Akizungumza...

 

11 years ago

BBCSwahili

UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mashambulizi yao nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani