Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti zazikwa uwanjani TZ

Viongozi wa dini ya kiislam na kikiristo nchini Tanzania walichuiana uwanjani kwa lengo la kuhamasisha Amani nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA

Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.

Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Beckham kurejea uwanjani

David Beckham amedokeza kuwa huenda akarejea uwanjani huko Marekani .

 

10 years ago

Dewji Blog

Kureshy arejea uwanjani

DSC04050

 Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kureshy Ufunguo (Kushoto) akioneshwa mipira inayofaa kwa ajili ya kufundishia watoto kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Isere Sports, Abbas Ally (Picha na Mpiga Picha Wetu.)

DSC04052

Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Kureshy Ufunguo (Kulia) akipokea jezi kwa ajili ya kuanzisha shule ya mafunzo ya watoto wadogo.

DSC04056

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Isere Sports, Abbas Ally (Kulia) akimkabidhi vifaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ngassa nacheza kokote uwanjani

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesema yuko tayari kucheza kokote atakapopangwa na kocha wake Hans Pluijm.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

SHAMSA AANGUA KILIO UWANJANI

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Shamsa Ford  hivi karibuni alijikuta akiangua kilio uwanjani baada ya timu yake anayoishabikia ya Yanga kufungwa mabao mawili bila. Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Taifa ambapo kulikuwa na mechi ya Nani Mtani Jembe 2 iliyozichezesha timu za Simba na Yanga ambapo Shamsa alijikuta akilia kama mtoto baada ya timu yake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal,Mancity na Chelsea uwanjani

Arsenal,Chelsea na Mancity zitajibwaga uwanjani dhidi ya Newcastle,Hull City na Leicester .

 

11 years ago

BBCSwahili

David Rudisha kurejea uwanjani

Rudisha amezungumza na John Nene na kusema sasa yuko sawa na tayari kukimbia tena.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kombe la FA latua uwanjani Emirates

Arsenal wamejimalizia ukame wa miaka tisa wa kutopata taji lolote kwa kushinda kombe la FA 2014

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani