Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tona ya Coraltint katika chupa mpya yazinduliwa

IMG_0665-01+1

Kampuni kubwa nchini Tanzania inayoongoza katika utengenezaji wa rangi mbalimbali ya Coral paints inaendelea kuonyesha dhamira yake ya dhati kwa wateja wake kwa kuwapatia huduma bora, kuongeza maboresho na ubunifu katika bidhaa zake. Hivi karibuni kampuni hiyo ya rangi imezindua tona mpya chini ya jina la CORALTINT ambayo imeboreshwa na imefanyiwa baadhi ya mabadiliko katika mfuniko wake.

Hatua hiyo ya maendeleo imefikiwa baada ya kupokea maoni na ushauri kutoka kwa wateja wake katika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

SBL yazindua chupa mpya “Tusker 330ml” sokoni

2

Mkurugenzi Masoko wa kampuni ya bia Serengeti, Bw.Ephraim Mafuru, akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa chupa mpya ya bia ya Tusker yenye ujazo wa milimita 330, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.

Wateja wa bia ya Tusker Lager kwa mara nyingine wamepewa heshima baada ya  kampuni ya Serengeti Breweries kuingiza sokoni chupa ya bia mpya inayojulikana kama “Tusker ml330”

Chupa hii mpya imezinduliwa mapema jana -Golden Jubilee Tower iliyoko jijini Dar Es...

 

11 years ago

Michuzi

BODI MPYA YA BARAZA LA HABARI YAZINDULIWA

Jaji Kiongozi Shaban Ally Lila akihutubia katika uzinduzi wa Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania kwa niaba ya Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman kwenye Hoteli ya Blue Pearl jijini Dar es Salaam, Agosti 7,2014. Rais  wa Baraza la Habari aliyemaliza muda wake  Jaji Mstaafu Dk. Robert Kisanga  akihutubia katika uzinduzi wa Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania ambapo alisisitiza umuhimu wa Baraza la habari na kutaka liungwe mkono kufanikisha malengo yake .Dar es Salaam, Agosti 7,2014. Katibu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu mpya ya Star Wars yazinduliwa

Filamu mpya ya mwendelezo wa filamu za Stars Wars, iliyosubiriwa kwa hamu sana, imeonyeshwa kwa mara ya kwanza Los Angeles.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV 
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...

 

11 years ago

Habarileo

Njia mpya ya mawasiliano Dar-Zanzibar yazinduliwa

Profesa Makame MbarawaSERIKALI imezindua njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine.

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI MPYA YA SIMU YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Ofisa Biashara wa Manispaa ya Kinondoni, Ananias Kamundu (wa tatu kushoto), akipata maelezo kuhusu bidhaa za kampuni mpya ya simu za mkononi ya Halotel katika hafla ya uzinduzi rasmi wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Kampuni ya Viettel Tanzania wamiliki wa Halotel,  Nguyen Thanh Quang na wageni wengine waalikwa. Ofisa Biashara wa Manispaa ya Kinondoni, Ananias Kamundu (kushoto), na Mkurugenzi  wa kampuni mpya ya simu za mkononi wa Halotel  Mkoa wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania

IMG_7824

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.

IMG_7894

IMG_7856

Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania Media Foundation (TMF) mpya yazinduliwa rasmi!

2m Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa Septemba 22.2015, katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. 

1mKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation – Mfuko wa Habari Tanzania – TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia Septemba 22.2015 kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua...

 

9 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya James Bond, Spectre yazinduliwa Dar

JA6ud

Mastaa mbalimbali nchini mwishoni mwa wiki hii walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya James Bond, Spectre uliofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.

JA6ud

Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na muigizaji wa Uingereza Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International.

Pamoja na Fish Market, filamu hiyo ilizinduliwa kwenye majumba mengine ya sinema nchini na duniani kote.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo mwakilishi wa kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani