Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SBL yazindua chupa mpya “Tusker 330ml” sokoni

2

Mkurugenzi Masoko wa kampuni ya bia Serengeti, Bw.Ephraim Mafuru, akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa chupa mpya ya bia ya Tusker yenye ujazo wa milimita 330, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.

Wateja wa bia ya Tusker Lager kwa mara nyingine wamepewa heshima baada ya  kampuni ya Serengeti Breweries kuingiza sokoni chupa ya bia mpya inayojulikana kama “Tusker ml330”

Chupa hii mpya imezinduliwa mapema jana -Golden Jubilee Tower iliyoko jijini Dar Es...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

SBL yazindua kampeni kufikia malengo

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...

 

10 years ago

GPL

COCO COLA KWANZA YAZINDUA DASANI YA CHUPA

Maji ya dasani yakizinduliwa rasmi.
Meneja wa Coca Cola Nchini,Yebeltal Getachew (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzion, Meneja Mauzo na Masoko, Nalaka Hettiarachchi na Msimamizi wa Masoko, Josephine Masalilwa wakiwa na chupa za maji ya Dasani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

SBL yazindua kinyaji kipya aina ya “JEBEL COCONUT”

DSC_1091

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Steven Gannon akitoa ufafanuzi wa kinywaji kipya aina ya Pombe kali, kinachojulikana kama Jebel Coconut jana wakati wa uzinduzi wa kinywaji hicho uliofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. DSC_1093 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Steven Gannon akimpongeza Meneja Uvumbuzi wa kampuni hiyo, Attu Mynah, wakati wa shughuli ya uzinduzi wa kinywaji kipya aina ya Jebel coconut, ambacho ni pombe kali, katika hoteli...

 

10 years ago

Dewji Blog

SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake

2

Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.

7

8

Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...

 

10 years ago

GPL

SBL YAZINDUA 'JEBEL COCONUT'

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL),  Steve Gannon akiongea na wanahabari (hawapo pichani) siku ya jana. Dar es Salaam, Tanzania-Septemba 23, 2014
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) moja ya kampuni kubwa za kutengeneza bia nchini na watengenezaji wa bia maarufu aina ya Serengeti Premium Lager wametangaza rasmi kuzindua bidhaa yao mpya inayoitwa Jebel Coconut. Wakionyesha kinywaji kipya cha Jebel...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tona ya Coraltint katika chupa mpya yazinduliwa

IMG_0665-01+1

Kampuni kubwa nchini Tanzania inayoongoza katika utengenezaji wa rangi mbalimbali ya Coral paints inaendelea kuonyesha dhamira yake ya dhati kwa wateja wake kwa kuwapatia huduma bora, kuongeza maboresho na ubunifu katika bidhaa zake. Hivi karibuni kampuni hiyo ya rangi imezindua tona mpya chini ya jina la CORALTINT ambayo imeboreshwa na imefanyiwa baadhi ya mabadiliko katika mfuniko wake.

Hatua hiyo ya maendeleo imefikiwa baada ya kupokea maoni na ushauri kutoka kwa wateja wake katika...

 

11 years ago

Michuzi

NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited ( SBL ) leo inatangaza utuezi wa Ndg. Nehemia Mchechu kama Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya SBL. Uteuzi wa Ndg. Mchechu unafuata ukamilisho wa umiliki wa Mhe. Jaji (mstaafu) Mark Bomani . Katika nafasi yake mpya , Bw Mchechu pia atakukwa memba ya bodi ya kampuni ya bia ya East Africa.
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtandao mpya wa simu waingia sokoni

TAASISI ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kwa kushirikiana na tasisi ya mtandao wa usambazaji wa huduma (IPS network) imeingia katika soko la pamoja la mawasiliano kwa nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani