SBL yazindua chupa mpya “Tusker 330ml” sokoni
Mkurugenzi Masoko wa kampuni ya bia Serengeti, Bw.Ephraim Mafuru, akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa chupa mpya ya bia ya Tusker yenye ujazo wa milimita 330, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
Wateja wa bia ya Tusker Lager kwa mara nyingine wamepewa heshima baada ya kampuni ya Serengeti Breweries kuingiza sokoni chupa ya bia mpya inayojulikana kama “Tusker ml330”
Chupa hii mpya imezinduliwa mapema jana -Golden Jubilee Tower iliyoko jijini Dar Es...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
SBL yazindua kampeni kufikia malengo
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
SBL yazindua kampeni ya ‘Fanya Kweli’
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia kinywaji chake cha Tusker Lager, imezindua kampeni mpya inayojulikana kwa jina la ‘Fanya Kweli’ ambayo itasaidia kujenga maisha ya mtu mmoja na Tanzania...
10 years ago
GPLCOCO COLA KWANZA YAZINDUA DASANI YA CHUPA
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
SBL yazindua kinyaji kipya aina ya “JEBEL COCONUT”
![DSC_1093](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_1093.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake
Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...
10 years ago
GPLSBL YAZINDUA 'JEBEL COCONUT'
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Tona ya Coraltint katika chupa mpya yazinduliwa
Kampuni kubwa nchini Tanzania inayoongoza katika utengenezaji wa rangi mbalimbali ya Coral paints inaendelea kuonyesha dhamira yake ya dhati kwa wateja wake kwa kuwapatia huduma bora, kuongeza maboresho na ubunifu katika bidhaa zake. Hivi karibuni kampuni hiyo ya rangi imezindua tona mpya chini ya jina la CORALTINT ambayo imeboreshwa na imefanyiwa baadhi ya mabadiliko katika mfuniko wake.
Hatua hiyo ya maendeleo imefikiwa baada ya kupokea maoni na ushauri kutoka kwa wateja wake katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t7fzP48jN30/U6fqRE4ZKpI/AAAAAAAFsZE/otg-vI1Wt9E/s72-c/Screen+Shot+2014-06-23+at+11.45.38+AM.png)
NDG. Nehemia Mchechu nyie mwenyekiti mpya wa Bodi ya SBL
Ndugu Nehemia Mchechu kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa( NHC) . Bw. Mchechu anauzoefu mkubwa katika masuala ya fedha na usimamizi....
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mtandao mpya wa simu waingia sokoni
TAASISI ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kwa kushirikiana na tasisi ya mtandao wa usambazaji wa huduma (IPS network) imeingia katika soko la pamoja la mawasiliano kwa nchi...