Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COCO COLA KWANZA YAZINDUA DASANI YA CHUPA

Maji ya dasani yakizinduliwa rasmi.
Meneja wa Coca Cola Nchini,Yebeltal Getachew (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzion, Meneja Mauzo na Masoko, Nalaka Hettiarachchi na Msimamizi wa Masoko, Josephine Masalilwa wakiwa na chupa za maji ya Dasani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

COCA-COLA YAZINDUA UPYA MAJI YA DASANI


Kutoka kushoto ni Meneja wa Coca- Cola, Yebeital Getachew, Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios, Meneja Masoko wa Coca-Cola Kwanza, Hettiarachchi na Msimamizi wa Masoko Coca-Cola Kwanza, Josephine Msalilwa wakionyesha muonekano mpya wa chupa ya maji ya Dasani baada wakati wa uzinduzi.   Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios akifafanua jambo kwa waandishi wa habari mara baada ya kuzindua upya maji ya Dasani.Chupa ya Dasani inavyoonekana baada ya...

 

11 years ago

GPL

UMATI WAFURIKA TAMASHA LA COCA COLA HUKO COCO BEACH DAR

  Msanii Vannesa Mdee au Vee Money akioneha ujuzi wake stejini. Joh Makini akiwapagawisha mashabiki katika viwanja vya Coco Beach.    Mashabiki wakionyesha kufurahishwa na burudani zilizokuwa zikitolewa na baadhi a…

 

10 years ago

Dewji Blog

SBL yazindua chupa mpya “Tusker 330ml” sokoni

2

Mkurugenzi Masoko wa kampuni ya bia Serengeti, Bw.Ephraim Mafuru, akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa chupa mpya ya bia ya Tusker yenye ujazo wa milimita 330, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.

Wateja wa bia ya Tusker Lager kwa mara nyingine wamepewa heshima baada ya  kampuni ya Serengeti Breweries kuingiza sokoni chupa ya bia mpya inayojulikana kama “Tusker ml330”

Chupa hii mpya imezinduliwa mapema jana -Golden Jubilee Tower iliyoko jijini Dar Es...

 

9 years ago

Michuzi

UHURU ONE YAZINDUA MFUMO WA KWANZA WA MAWASILIANO YA 4G DVNO LEO JIJINI DAR

 Meneja Mkuu wa  kampuni ya Tigo, Diego Gutierrez, akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kwenye mkutano kuhusina na kampuni ya Tigo kuanza kutumia mfumo wa kwanza Afrika wa mawasiliano ya 4G DVNO ikishirikiana na Uhuru One.Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez akiwa na Mwenyekiti wa uhuru One Rajab Katunda wakati wa uzinduzi kuanzisha kutumia mfumo wa kwanza Afrika wa mawasiliano ya 4G DVNO ikishirikiana na Uhuru One.
KAMPUNI ya  Tigo na kampuni ya UhuruOne wameanzisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar

1

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa  sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkuu wa VIVA Tower Viral Manek, akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya I&M katika jengo hilo litakalotoa huduma masaa 24, kwa kuweka na kutoa fedha na kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mfumo mpya wa mashine za kieletroniki (ATMs). Kushoto ni mkurugenzi mkuu wa benki hiyo, Bw. Anurag Doreha, Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (katikati) akifafanua jambo baada ya uzinduzi wa tawi jipya la...

 

9 years ago

Bongo Movies

Kupa Apigwa Chupa Klabu

MSANII wa filamu za Kibongo, Rashid Makupa ‘Kupa’ hivi karibuni alikuwa katika wakati mgumu baada ya kupigwa chupa kichwani na Kundi la Panya Road lililovamia sherehe ya kuzaliwa ya msanii mwenzake, Maira Mlope.

Tukio hilo lilitokea ndani ya Klabu ya Philemon Lounge, Kinondoni-Manyanya jijini Dar ambapo lilizuka varangati baada ya kijana mmoja aliyekolea ulabu kutoka nje ya klabu hiyo na kulichokoza kundi hilo lililokuwa likipita na kulazimika kuingia ndani likiwa na silaha mbalimbali kama...

 

10 years ago

GPL

CHUPA CHAKAVU ZAONGEZA AJIRA BINAFSI

Jamaa anayeokota chupa chakavu akikatiza eneo la Mapambano- Sinza. Mwingine akiwa eneo la Bamaga…

 

11 years ago

BBCSwahili

Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC

Unywaji wa pombe umeongezeka kwa kiasi kikubwa mjini Kinshasa DRC kutokana na utengenezaji wa chupa ndogo za pombe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani