Kupa Apigwa Chupa Klabu
MSANII wa filamu za Kibongo, Rashid Makupa ‘Kupa’ hivi karibuni alikuwa katika wakati mgumu baada ya kupigwa chupa kichwani na Kundi la Panya Road lililovamia sherehe ya kuzaliwa ya msanii mwenzake, Maira Mlope.
Tukio hilo lilitokea ndani ya Klabu ya Philemon Lounge, Kinondoni-Manyanya jijini Dar ambapo lilizuka varangati baada ya kijana mmoja aliyekolea ulabu kutoka nje ya klabu hiyo na kulichokoza kundi hilo lililokuwa likipita na kulazimika kuingia ndani likiwa na silaha mbalimbali kama...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulnS6SV5tE5JwdS3qWBRL2FENVzos*oy1zZRZI19OSh5oVhnNCo8K7N2T-UzboTE-B5DH1FFgz4vg7CVevcgPuza/Kupa.jpg?width=650)
KUPA ANASWA NA MWANAUME TATA
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
10 years ago
GPLCHUPA CHAKAVU ZAONGEZA AJIRA BINAFSI
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Avunja chupa na kuanza uzazi akiwa harusini
.Ni rafiki wa bi harusi ambaye alikuwa awe matroni
.Mume achanganyikiwa kwani ndiye Best man
.hekaheka zatokea ajifungulia kwenye gari
Na MOblog Team, kwa msaada wa mtandao
MWANAMKE ambaye alitakiwa kuwa matroni na kisha kumkatalia rafiki yake kwa kuwa alikuwa mjamzito na aliogopa kumharibia shughuli yake, amejikuta akikimbilia katika gari kwa ajili ya kujifungua muda mfupi tu baada ya kuingia katika sherehe za rafiki yake.
Alisema awali kwamba alikataa kuwa matroni kwa kuhofia sit u...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t-JMrd4zSx6Zz9VP*PWVMig-WpDyEwn31Ag1OIhTHeHBtiA4dfgTyv7nW1CYhZ7EKxKZ2Hwu9YjtznkHFeMa-5v/baba.jpg?width=650)
BABA AMUUA MTOTO KWA CHUPA YA BIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVci2xh-RbVZdmsCtZdlDZXt*Scu6AJQ3BiRI38OkVee44RS-*FbHSNKd2ipa34c3PhbV4EoUGGIfz40L9XosjlC/kijana2.jpg?width=650)
KIJANA AJICHOMA CHUPA, KISA... MAISHA MAGUMU
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Chupa ndogo hatari kwa walevi DRC
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Tona ya Coraltint katika chupa mpya yazinduliwa
Kampuni kubwa nchini Tanzania inayoongoza katika utengenezaji wa rangi mbalimbali ya Coral paints inaendelea kuonyesha dhamira yake ya dhati kwa wateja wake kwa kuwapatia huduma bora, kuongeza maboresho na ubunifu katika bidhaa zake. Hivi karibuni kampuni hiyo ya rangi imezindua tona mpya chini ya jina la CORALTINT ambayo imeboreshwa na imefanyiwa baadhi ya mabadiliko katika mfuniko wake.
Hatua hiyo ya maendeleo imefikiwa baada ya kupokea maoni na ushauri kutoka kwa wateja wake katika...
10 years ago
GPLCOCO COLA KWANZA YAZINDUA DASANI YA CHUPA