Avunja chupa na kuanza uzazi akiwa harusini
.Ni rafiki wa bi harusi ambaye alikuwa awe matroni
.Mume achanganyikiwa kwani ndiye Best man
.hekaheka zatokea ajifungulia kwenye gari
Na MOblog Team, kwa msaada wa mtandao
MWANAMKE ambaye alitakiwa kuwa matroni na kisha kumkatalia rafiki yake kwa kuwa alikuwa mjamzito na aliogopa kumharibia shughuli yake, amejikuta akikimbilia katika gari kwa ajili ya kujifungua muda mfupi tu baada ya kuingia katika sherehe za rafiki yake.
Alisema awali kwamba alikataa kuwa matroni kwa kuhofia sit u...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi05 Nov
ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA
Dereva Toka Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari
Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof
Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...
9 years ago
Bongo522 Oct
Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford
9 years ago
Habarileo19 Aug
Utafiti afya ya uzazi na mtoto kuanza Agosti
WITO umetolewa kwa viongozi wote wa Serikali katika ngazi zote na wananchi kwa ujumla kutoa ushirikiano kwa Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria utakaoanza rasmi Agosti 21, 2015.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun3eU8jWkBkY0Q7-XSGbUiuEayl4GvRDsQ7z02VjCJhDqV1eIj33AciH5*QJ4bEAUL18WrfU96mSAuekvt*ohlk0/PICHANAMBA1.jpg)
UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA MALARIA KUANZA RASMI TAREHE 21 AGOSTI, 2015
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Watu 20 wafariki harusini Afghanistan
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Amisom waliwaua 6 harusini Somalia
10 years ago
Bongo Movies08 Mar
Vijimambo :Naelekea Harusini-Ray
Baada ya kuonekana kukataa kuweka dau mezani, Staa wa Bongo Movies ‘Ray’ ambae ni shabiki mkubwa wa Yanga ameshare nasi picha akiwa anaelekea kiwanjani kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga inayopigwa leo uwanja wataifa.
“Nimeshajiandaa tayari sasa naelekea harusini.....nasikia biharusi kapendeza sana”-aliandika na kumtagi JB
Baadhi ya watu wanamuliza bila majibu kama ameweka mazigo au la? Au hana uhakika na timu yake?
Siku ya jana JB ambae ni mshabiki wa Simba,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanamuziki, ma-DJ mkialikwa harusini vaeni vizuri
MUZIKI una sehemu kubwa katika maisha ya kila siku ya binadamu. Wapo wanaoutumia muziki kama ajira yao kuu inayowawezesha kupata kipato cha kuendesha maisha yao ya kila siku, wapo wanaoutumia...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Bwanaharusi apigwa na kutimuliwa harusini Karachi