Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Avunja chupa na kuanza uzazi akiwa harusini

.Ni rafiki wa bi harusi ambaye alikuwa awe matroni

.Mume achanganyikiwa kwani ndiye Best man

.hekaheka zatokea ajifungulia kwenye gari

article-0-20F7421600000578-138_636x382

Na  MOblog Team, kwa msaada wa mtandao

MWANAMKE ambaye alitakiwa kuwa matroni na kisha kumkatalia rafiki yake kwa kuwa alikuwa mjamzito na aliogopa kumharibia shughuli yake, amejikuta akikimbilia katika gari kwa ajili ya kujifungua muda mfupi tu baada ya kuingia katika sherehe za rafiki yake.

Alisema awali kwamba alikataa kuwa matroni kwa kuhofia sit u...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA



 Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari Meneja Mkuu wa Alliance Autos Wayne Mcintosh(kushoto) Akipata picha na Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof

 Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof


Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

 

9 years ago

Habarileo

Utafiti afya ya uzazi na mtoto kuanza Agosti

WITO umetolewa kwa viongozi wote wa Serikali katika ngazi zote na wananchi kwa ujumla kutoa ushirikiano kwa Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria utakaoanza rasmi Agosti 21, 2015.

 

9 years ago

GPL

UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA MALARIA KUANZA RASMI TAREHE 21 AGOSTI, 2015

Mgeni rasmi, Mwakilishi wa Katibu Mkuu, Dkt. Ahmed Makuwani kutoka Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii akiwahutubia Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 wakati wa hafla fupi ya kufunga mafunzo ya utafiti huo iliyofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akielezea umuhimu wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wafariki harusini Afghanistan

Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.

 

9 years ago

BBCSwahili

Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.

 

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo :Naelekea Harusini-Ray

Baada  ya kuonekana  kukataa kuweka dau mezani,  Staa wa Bongo Movies ‘Ray’ ambae ni shabiki mkubwa wa Yanga ameshare nasi picha akiwa anaelekea kiwanjani kushuhudia mechi ya watani wa jadi,  Simba na Yanga  inayopigwa leo uwanja wataifa.  

“Nimeshajiandaa tayari sasa naelekea harusini.....nasikia biharusi kapendeza sana”-aliandika na kumtagi JB

Baadhi ya watu wanamuliza  bila majibu kama ameweka mazigo au la?  Au hana uhakika na timu yake?

Siku ya jana  JB  ambae ni mshabiki wa Simba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamuziki, ma-DJ mkialikwa harusini vaeni vizuri

MUZIKI una sehemu kubwa katika maisha ya kila siku ya binadamu. Wapo wanaoutumia muziki kama ajira yao kuu inayowawezesha kupata kipato cha kuendesha maisha yao ya kila siku, wapo wanaoutumia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bwanaharusi apigwa na kutimuliwa harusini Karachi

Harusi iligeuka na kuwa vurugu baada ya bwanaharusi kugundulika kuwa alikua na wanawake wengine wawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani