Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bwanaharusi apigwa na kutimuliwa harusini Karachi

Harusi iligeuka na kuwa vurugu baada ya bwanaharusi kugundulika kuwa alikua na wanawake wengine wawili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

Pakistan heat wave: Death toll passes 700 in Karachi, Sindh Province

Karachi, Pakistan (CNN) At the Edhi morgue in Karachi, the smell is overwhelming.Sixty bodies lie in storage. But an oppressive heat wave -- and the frequent power outages from electricity grids trying to keep up with demand -- means the morgue is unable to properly temperature-control the overcrowded facility.A hand-written sign outside says the morgue is filled to capacity.Such is the state of affairs in the beleaguered seaport city of Karachi. A record-breaking heatwave has killed 748 in...

 

9 years ago

BBCSwahili

Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na umatu harusini na kuwaua watu 6.

 

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo :Naelekea Harusini-Ray

Baada  ya kuonekana  kukataa kuweka dau mezani,  Staa wa Bongo Movies ‘Ray’ ambae ni shabiki mkubwa wa Yanga ameshare nasi picha akiwa anaelekea kiwanjani kushuhudia mechi ya watani wa jadi,  Simba na Yanga  inayopigwa leo uwanja wataifa.  

“Nimeshajiandaa tayari sasa naelekea harusini.....nasikia biharusi kapendeza sana”-aliandika na kumtagi JB

Baadhi ya watu wanamuliza  bila majibu kama ameweka mazigo au la?  Au hana uhakika na timu yake?

Siku ya jana  JB  ambae ni mshabiki wa Simba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wafariki harusini Afghanistan

Sherehe moja ya harusi nchini Afghanistan, imeshambuliwa kwa mzinga uliorushwa na roketi na kusababisha mauaji ya watu 20.

 

9 years ago

Mtanzania

89 hoi kwa kunywa juisi harusini

Na Editha Karlo, Kigoma

WAKAZI 89 wa Kijiji cha Rugunga, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo, baada ya kunywa juisi ya kienyeji inayosadikiwa kuwa na sumu wakati wa sherehe ya harusi.

Tukio hilo limetokea Septemba 6, mwaka huu, baada ya watu hao kunywa juisi na kula chakula kilichoandaliwa katika sherehe hiyo.

Baada ya muda mfupi, waalikwa hao walianza kuumwa matumbo na kuharisha mfululizo hali iliyofanya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sura ya mke yamtisha mumewe harusini

Mume amkataa bi harusi kwakuwa ana sura mbaya na hafai kuolewa katika siku yake ya kwanza ya kuonana naye.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waliowaua raia harusini mashakani

Kiongozi mkuu wa jeshi la muungano wa Afrika linalohudumu nchini Somalia, anasema kuwa wanajeshi watatu wa kikosi hicho wameshtakiwa kuhusiana na mauaji ya mwezi uliopita ya kundi moja la raia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bwana harusi aaga akienda harusini

Watu 17 akiwemo bwana harusi wamekufa maji baada ya boti iliyokuwa imewababeba wageni waliokuwa wanakwenda kwa harusi yake kuzama

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamuziki, ma-DJ mkialikwa harusini vaeni vizuri

MUZIKI una sehemu kubwa katika maisha ya kila siku ya binadamu. Wapo wanaoutumia muziki kama ajira yao kuu inayowawezesha kupata kipato cha kuendesha maisha yao ya kila siku, wapo wanaoutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani