Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TONY BLAIR AJIUZULU UJUMBE WA UMOJA WA MATAIFA

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair. Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair ametangaza kujiuzulu nafasi ya Ujumbe wa Umoja wa Kimataifa kwenye kamati inaoshughulikia usuluhishi wa migogoro ya Mashariki ya Kati Quartet. Migogoro hiyo inahusisha nchi ya Israel na Palestina nafasi ambayo ameitumikia kwa kipindi cha miaka nane tangu mwaka 2007 akiwakilisha pande nne yaani Marekani, Russia, Umoja wa Ulaya na Umoja...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA TAASISI ZA UMOJA WA MATAIFA NCHINI WAKUTANA NA DKT. SHEIN,IKULU ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mweenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriguez akiongoza ujumbe wa Wakuu wa Taasisi za Umoja wa Mataifa wenye Ofisi zao Nchini Tanzania walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kuonana na Rais. Rais wa Zanzibar na Mweenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Wakuu wa Taasisi za Umoja wa Mataifa wenye Ofisi zao Nchini Tanzania walipofika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tony Blair, Former Prime Minister of the United Kingdom, to Present a Keynote Address at the 2015 Mining Indaba

miningindaba

Mining Indaba, the world’s largest mining investment event will take place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town, South Africa

The organisers of the annual Investing in African Mining Indaba (http://www.miningindaba.com) announced today that Tony Blair, Prime Minister of the United Kingdom (1997 – 2007) will participate in a keynote presentation at the  2015 annual conference.  Euromoney Institutional Investor Managing Director, Mr. Christopher Fordham, will host an “Interview with Tony...

 

10 years ago

Michuzi

UHISPANIA NA UTURUKI WACHUANA VIKALI NAFASI YA UJUMBE USIO WA KUDUMU WA BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum, New York Wajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa , jana Alhamisi waliwapigia kura ya siri wajumbe watano wasio wa kudumu watakaojiunga na Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa kuanzia January Mosi 2015.  Mataifa yaliyokuwa yanawania nafasi hizo kwa kuzingatia mgawanyo wa Kikanda ni nafasi moja kutoka nchi za Afrika, ambayo kwa sasa inashikiliwa na Rwanda, nafasi moja kwa kundi la nchi za Asia na Pacific ambayo kwa sasa inashikiliwa na Jamhuri ya...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KAMISHNA MKUU WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

 Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ukiwa katika kikao na Ujumbe wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) uliotembelea Wizara hiyo.  Wa pili kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo.  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo akizungumza na ujumbe wa Shrika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) (haupo pichani) uliotembelea Wizara hiyo ambapo masuala mbalimbali kuhusiana na wakimbizi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blair ajiuzuru ujumbe Quartet

Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair amejiuzulu nafasi ya ujumbe wa umoja wa kimataifa katika kamati unaoshughulikia usuluhishi wa mgogoro wa Mashariki ya kati Quartet

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa

Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini Mali unasema kuwa wanajeshi tisa wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa nchini Mali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa

Umoja wa Mataifa umeunda kamati huru kuchunguza kashfa ya udhalilishaji watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa

RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani