Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA Kagera yailalamikia polisi

MAMLAKA ya Mapato (TRA) Mkoa wa Kagera imesema baadhi ya askari polisi wanakwamisha utendaji wao jambo linalowafanya wakose imani nao katika kazi. Akizungumza na Tanzana Daima ofisini kwake hivi karibuni,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi: Tatizo la viroba ni TRA

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga, amesema watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoani hapa wanashirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali aina ya viroba wanaokwepa kodi. Kauli ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi, TRA wavutana wakwepaji wa kodi

Sakata la wafanyabiashara haramu wa viroba Mkoa wa Kagera limeingia kwenye sura mpya, baada ya polisi mkoani hapa kudai kuwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wanashirikiana na wafanyabiashara wa pombe hizo kukwepa kodi.

 

10 years ago

Michuzi

TRA NA JESHI LA POLISI WATOA ONYO


 Bw. Rished BADE, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akiongea na wanahabari. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kamishna wa Polisi, Afande Isaya Mngulu, na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA Bw. Richard Kayombo

 

11 years ago

Mwananchi

Mangu aingilia kati sakata la TRA, Polisi

Sakata la wakwepa kodi mkoani Kagera limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kumuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga kuwachunguza na kuwatia mbaroni askari wanaotuhumiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali maarufu viroba wanaokwepa kodi.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi Kagera wasambaratisha wafuasi wa Mdee kwa mabomu

Halima Mdee

Halima Mdee

Na Mwandishi Wetu, Kyerwa

JESHI la Polisi Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera limetumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi waliojitokeza kumpokea Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee.

Walilazimika kutumia mabomu wakati Mdee alipokuwa anakwenda kusaini kitabu cha wageni kwenye ofisi za chama hicho.

Mbali na kutumia mabomu, jeshi hilo limezuia mikutano yote iliyokuwa ihutubiwe na Mdee jana kwa madai ya kupata taarifa za kiitelijensia kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Kagera watoa tahadhari uvunjifu wa amani Pasaka

JESHI la Polisi Kagera kwa kushirikiana na vyombo vya usalama, limejipanga kuhakikisha hakuna vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza katika Sikukuu ya Pasaka. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Kagera,...

 

10 years ago

StarTV

Ufukuaji kaburi la Albino, Polisi Kagera yakamata watuhumiwa wawili

Na Mariam Emily,

Bukoba Kagera.

 

 

 

Polisi mkoani Kagera inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi Baltazary John aliyefariki dunia mwaka 1999 katika kijiji cha Kandegesho wilayani Karagwe mkoani humo.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi wa Polisi Henry Mwaibambe amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao ambao walikuwa katika harakati za kutafuta wateja kwa ajili ya kuuza viungo vya marehemu huyo.

 

Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo cha...

 

10 years ago

TheCitizen

NYERERE & KAGERA WAR-4: Kagera War: Lessons and challenges

>Besides recapturing the Kagera Salient and driving Idi Amin out of Uganda, Tanzania’s second major success in the eight-month war lay in the organisation of its fighting force.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani