Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA yaibana mbavu UDA

tra.CHRISTINA GAULUHANGA NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

AGIZO la Rais Dk. John Magufuli kuwabana wafanyabiashara wanaokwepa kodi nchini, limeanza kuwa mwiba baada ya mabasi ya Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA), kukamatwa kutokana na kukwepa kodi.

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo, alisema mabasi tisa ya UDA yalikamatwa kutokana na kukiuka sheria za mlipakodi.

Mbali na UDA, Kayombo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa masharti matano kwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), yanayotakiwa kutekelezwa kabla kupewa msamaha wa kodi kwa gari aina ya Iveco ulioombwa.     

 

11 years ago

Mwananchi

Cecafa yaibana ZFA

>Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekishukia Chama cha Soka cha Zanzibar (ZFA) kwa kuandaa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kinyume cha taratibu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yaibana Croatia 3-1

Wenyeji wa kombe la dunia walifungua kampeini yao ya kuwania taji lao la sita la kombe la dunia kwa kuilaza croatia mabao 3-1

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibana Swansea 1-0

Licha ya kuilaza Swansea 0-1 Chelsea imesalia ya 2 katika ligi kuu ya Uingereza.

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaibana BOT

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manchester City yaibana Liverpool 3-1

Manchester City iliibana Liverpool mabao 3-1 katika uwanja wa Etihad katika mechi yao ya pili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Olympiacos yaibana Machester United

Manchester United iliambulia kichapo 2-0 na Olympiacos ya Ugiriki

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaibana ACT Kigoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani hapa, kimetoa siku 14 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno kuhakikisha anatoa amri ya kushushwa bendera ya Chama cha ACT katika...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaibana Bodi ya Chai

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey ZambiSERIKALI imeiagiza Bodi ya Chai kuhakikisha inafuatilia malalamiko ya wakulima wa zao hilo wilayani Korogwe haraka iwezekanavyo na kuyatafutia ufumbuzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani