TRA yaweka rekodi ya Sh1.4trilioni Desemba
Serikali ya Awamu ya Tano imekusanya ziada ya Sh900 bilioni kupitia kodi katika kipindi cha miezi miwili tangu aingie madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Hispania yaweka rekodi mpya
9 years ago
Mwananchi09 Dec
NHC yaweka rekodi ujenzi wa nyumba
9 years ago
Bongo513 Oct
Timu ya taifa ya England yaweka rekodi mechi za kufuzu Euro 2016
9 years ago
Bongo513 Oct
Album mpya ya Janet Jackson ‘Unbreakable’ yaweka rekodi kwenye chati za Billboard 200
11 years ago
TheCitizen09 Feb
TRA loses Sh1.9bn tax case over beef, poultry imports from Kenya
9 years ago
Bongo511 Nov
Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ yaweka rekodi mpya ya ‘Guinness World Record’
![James Bond-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/James-Bond-1-300x194.jpg)
Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imeweka rekodi mpya ya Guinness World Record kwa kuwa filamu yenye mlipuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya filamu (Largest Film Stunt Explosion).
Waigizaji Daniel Craig, Léa Seydoux na producer Barbara Broccoli wa filamu hiyo hivi karibuni walikabidhiwa official Guinness World Records certificate baada ya filamu hiyo kuvunja rekodi hiyo.
Mlipuko huo ambao ulitengenezewa Erfoud, Morocco ulifanikishwa kwa kutumia lita 8,418 za mafuta ya taa,...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote..
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali pamoja na zile jitihada za kuhakikisha Tanzania inakuwa na makusanyo mazuri ya mapato ya Serikali imekuja na good news leo January 06 2016. Waziri mpya wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango aliwahi kunukuliwa akisema ni aibu kwa kiongozi wa nchi kwenda nje ya […]
The post TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.
Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.
Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
CHADEMA yaweka ngumu
WAKATI jeshi la polisi likiimarisha ulinzi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kuzuia maandamano na migomo isiyo na kikomo iliyoitishwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama hicho kimesema kitaanza leo....