CHADEMA yaweka ngumu
WAKATI jeshi la polisi likiimarisha ulinzi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kuzuia maandamano na migomo isiyo na kikomo iliyoitishwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama hicho kimesema kitaanza leo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
CHADEMA yaweka msimamo mzito
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza msimamo mzito kwamba endapo vijana milioni tano wasipoandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kitasusia kura za maoni ya Katiba. Msimamo huo...
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Yanga yaweka mkakati
ABDUCADO EMMANUEL NA JENNIFER ULLEMBO, DAR
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa timu ya Yanga chini ya kocha wao, Hans van Pluijm wamewawekea mkakati mzito wapinzani wao Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, lengo ni kuing’oa kwenye michuano hiyo.
Moja ya mkakati huo ni Pluijm kupanga kuwatumia marafiki zake wa Tunisia kuhakikisha anapata taarifa zao za kina ikiwemo kujua udhaifu wao.
Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Watunisia...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
NEC yaweka msimamo uandikishaji
NA RABIA BAKARITUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haitoongeza muda wa kuandikisha Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa BVR, licha ya wanasiasa wengi kupendekeza.Aidha imetoa ruksa kwa vyama vyote vya siasa vinavyohitaji kuweka mawakala kufanya hivyo wakati wa uandikishaji wa daftari hilo.Mapendekezo ya kuongeza muda kutoka siku 14 hadi mwezi au miezi miwili, yalitolewa juzi na viongozi wa juu wa vyama vya siasa, walioshiriki mkutano kati yao na NEC kwa ajili ya kujadili...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Hispania yaweka rekodi mpya
11 years ago
BBCSwahili23 May
Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TFDA yaweka maisha ya watu rehani
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
TABIANCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI
![UD ONE](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/UD-ONE.jpg)
![udzungwa1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/udzungwa1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi
BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
CCM Kibaha yaweka hadharani msimamo
NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kibaha Mjini, kimesema wanachama wake watakaoongoza kura za maoni pasipo mizengwe, watateuliwa kuwania uongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Kimesema kitakabiliana na wagombea wote wasiokubali kushindwa, ambao mara nyingi wamekuwa chanzo cha kuendeleza makundi na kuleta matatizo kwenye uchaguzi.
Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Abdallah Mdimu, alisema hayo juzi kwa wenyeviti wa serikali za mitaa na madiwani alipokuwa akifunga...