Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yaweka ngumu

WAKATI jeshi la polisi likiimarisha ulinzi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kuzuia maandamano na migomo isiyo na kikomo iliyoitishwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama hicho kimesema kitaanza leo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaweka msimamo mzito

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza msimamo mzito kwamba endapo vijana milioni tano wasipoandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kitasusia kura za maoni ya Katiba. Msimamo huo...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaweka mkakati

Yanga-vs-Etoile-du-Sahel-1-e1429432765972ABDUCADO EMMANUEL NA JENNIFER ULLEMBO, DAR

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa timu ya Yanga chini ya kocha wao, Hans van Pluijm wamewawekea mkakati mzito wapinzani wao Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, lengo ni kuing’oa kwenye michuano hiyo.

Moja ya mkakati huo ni Pluijm kupanga kuwatumia marafiki zake wa Tunisia kuhakikisha anapata taarifa zao za kina ikiwemo kujua udhaifu wao.

Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Watunisia...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

NEC yaweka msimamo uandikishaji


NA RABIA BAKARITUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haitoongeza muda wa kuandikisha Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa BVR, licha ya wanasiasa wengi kupendekeza.Aidha imetoa ruksa kwa vyama vyote vya siasa vinavyohitaji kuweka mawakala kufanya hivyo wakati wa uandikishaji wa daftari hilo.Mapendekezo ya  kuongeza muda kutoka siku 14 hadi mwezi au miezi miwili,  yalitolewa juzi na viongozi wa juu wa vyama vya siasa, walioshiriki mkutano kati yao na NEC kwa ajili  ya kujadili...

 

11 years ago

Mwananchi

Hispania yaweka rekodi mpya

Rio de Janeiro, Brazil. Hispania imeingia katika orodha mbaya ya kihistoria ya kuwa timu ya tano bingwa kuondolewa mapema katika fainali za Kombe la Dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii

Kenya imeamua kuchukua kupunguza gharama za utalii, kuwavutia watalii wa ndani na nje katika hatua ya kuinua sekta ya utalii

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yaweka maisha ya watu rehani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...

 

9 years ago

Vijimambo

TABIANCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI

UD ONEMwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang'ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog)udzungwa1Eneo la kuingia katika Hifadhi na makao makuu ya hifadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi

BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM Kibaha yaweka hadharani msimamo


NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kibaha Mjini, kimesema wanachama wake watakaoongoza kura za maoni pasipo mizengwe, watateuliwa kuwania uongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
Kimesema kitakabiliana na wagombea wote wasiokubali kushindwa, ambao mara nyingi wamekuwa chanzo cha kuendeleza makundi na kuleta matatizo kwenye uchaguzi.
Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Abdallah Mdimu, alisema hayo juzi kwa wenyeviti wa serikali za mitaa na madiwani alipokuwa akifunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani