Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trafiki feki akamatwa Dar es Salaam

 Robson MwakyusaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inamshikilia na kumhoji Robson Mwakyusa (30), mkazi wa Kijitonyama kwa tuhuma za kujifanya Ofisa wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TRAFIKI MWINGINE FEKI ANASWA DAR!

Stori: Makongoro Oging’ KWA mara nyingine tena makachero wa polisi wamefanikiwa kumnasa trafiki feki ambaye anadaiwa kutikisa Jiji la Dar es Salaam kwa ukamataji wa magari na kuwatoa fedha madereva, Uwazi lina mchapo kamili. Trafiki feki aliyenaswa na Polisi anadaiwa kutikisa Jiji la Dar es Salaam anzo chetu ndani ya jeshi la polisi, kinaeleza kwamba trafiki huyo feki anayejulikana kwa jina la Robinson Seif (30)...

 

11 years ago

GPL

POLISI FEKI USALAMA BARABARANI AKAMATWA MBAGALA DAR

Kamishna Kova (katikati) akionesha kidole kwa polisi feki aliyekamatwa.
Sura ya ‘karibu’ ya askari huyo feki aliyekamatwa.
Kova akionyesha baadhi ya sare za jeshi la polisi alizokamatwa nazo polisi huyo…

 

11 years ago

Michuzi

Trafiki wafanya kazi hadi usiku Dar es salaam

 Kama ulidhania utaweza kuendesha gari usiku bila leseni ama kadi ya gari jijini Dar es salaam, umenoa. Siku hizi Wazee wa Feva wako kila mahali na wakati wowote ule....Hapa ni katika makutano ya barabara za Nkrumah na Bibi Titi saa tisa usiku ambapo magari yalisimamishwa na madereva wake kutakiwa kuonesha leseni na kadi za gari.

 

11 years ago

CloudsFM

TRAFIKI ‘FEKI’ AIBUA MAZITO

SAKATA la askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kunaswa wakiwa na sare za jeshi hilo baada ya kufukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali, bado limeendelea kulitesa Jeshi la Polisi nchini. Agosti 14,2013, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lilimkamata 'Trafiki feki', aliyefahamika kwa jina la James Hussein (45), mkazi wa Kimara Tangibovu, katika eneo la Tabata, Kinyerezi akijifanya askari wa kikosi hicho.
Juzi katika eneo la Chamazi Muhimbili, askari mwingine 'feki'...

 

10 years ago

Habarileo

Trafiki feki jela miaka 6

ALIYEJIFANYA Askari Polisi wa Usalama Barabarani, James Hassan (54) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na sare za Polisi na kujifanya mtumishi wa jeshi hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Shahidi aeleza trafiki feki alivyofukuzwa chuoni

SHAHIDI wa pili katika kesi ya aliyejifanya askari polisi wa usalama barabarani, James Hassan (45) ameileza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kuwa mshitakiwa huyo alifukuzwa baada ya kuchelewa kuingia chuoni.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Shahidi aeleza trafiki feki alivyopata sare za polisi


NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeelezwa kuwa mshitakiwa James Hassan (45), anayedaiwa kujifanya askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, alijipatia kofia na mkanda baada ya kufa kwa baba yake mdogo na kisha kushona sare za kikosi hicho.
Koplo Julius (36), ambaye ni shahidi wa pili wa upande wa  Jamhuri, alidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan, alipokuwa akitoa ushahidi.
Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Felista Mosha, Koplo Julius alidai Agosti 14,...

 

10 years ago

Habarileo

Akamatwa na mil.400/-feki

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino MlowolaJESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia mkazi wa Buzuruga jijini hapa, Zakaria Matiku Werema (35) baada ya kukamatwa akiwa na fedha bandia za Tanzania na za kigeni, ambazo kama zingekuwa halali zingekuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 400.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari feki akamatwa Moro

JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia Karume Kanzu (22), kwa tuhuma za kujifanya daktari wa hospitali kuu mkoani hapa na kuhudumia wagonjwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani