Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trafiki feki jela miaka 6

ALIYEJIFANYA Askari Polisi wa Usalama Barabarani, James Hassan (54) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na sare za Polisi na kujifanya mtumishi wa jeshi hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Askari feki JWTZ jela miaka 3

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mwanamume aliyejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufanya utapeli.

 

11 years ago

CloudsFM

TRAFIKI ‘FEKI’ AIBUA MAZITO

SAKATA la askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kunaswa wakiwa na sare za jeshi hilo baada ya kufukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali, bado limeendelea kulitesa Jeshi la Polisi nchini. Agosti 14,2013, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lilimkamata 'Trafiki feki', aliyefahamika kwa jina la James Hussein (45), mkazi wa Kimara Tangibovu, katika eneo la Tabata, Kinyerezi akijifanya askari wa kikosi hicho.
Juzi katika eneo la Chamazi Muhimbili, askari mwingine 'feki'...

 

11 years ago

Habarileo

Trafiki feki akamatwa Dar es Salaam

 Robson MwakyusaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inamshikilia na kumhoji Robson Mwakyusa (30), mkazi wa Kijitonyama kwa tuhuma za kujifanya Ofisa wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani.

 

11 years ago

GPL

TRAFIKI MWINGINE FEKI ANASWA DAR!

Stori: Makongoro Oging’ KWA mara nyingine tena makachero wa polisi wamefanikiwa kumnasa trafiki feki ambaye anadaiwa kutikisa Jiji la Dar es Salaam kwa ukamataji wa magari na kuwatoa fedha madereva, Uwazi lina mchapo kamili. Trafiki feki aliyenaswa na Polisi anadaiwa kutikisa Jiji la Dar es Salaam anzo chetu ndani ya jeshi la polisi, kinaeleza kwamba trafiki huyo feki anayejulikana kwa jina la Robinson Seif (30)...

 

10 years ago

Habarileo

Shahidi aeleza trafiki feki alivyofukuzwa chuoni

SHAHIDI wa pili katika kesi ya aliyejifanya askari polisi wa usalama barabarani, James Hassan (45) ameileza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kuwa mshitakiwa huyo alifukuzwa baada ya kuchelewa kuingia chuoni.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Shahidi aeleza trafiki feki alivyopata sare za polisi


NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeelezwa kuwa mshitakiwa James Hassan (45), anayedaiwa kujifanya askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, alijipatia kofia na mkanda baada ya kufa kwa baba yake mdogo na kisha kushona sare za kikosi hicho.
Koplo Julius (36), ambaye ni shahidi wa pili wa upande wa  Jamhuri, alidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan, alipokuwa akitoa ushahidi.
Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Felista Mosha, Koplo Julius alidai Agosti 14,...

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.

Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...

 

9 years ago

Habarileo

Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua

MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani