TRL yatamba sasa kujiendesha yenyewe
KAMPUNI ya Reli nchini (TRL) imetamba kuwa sasa ni mwanzo kwa kampuni hiyo kujiendesha kibiashara na kuipunguzia mzigo serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Dec
Magereza kujiendesha kibiashara
JESHI la Magereza limesema limejipanga kutekeleza maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na Rais John Magufuli ambayo ni pamoja na kujiendesha kibiashara katika miradi yake na pia kupunguza matumizi ya fedha za Serikali. Akizungumza katika Mkutano wa Mwaka na maofisa waandamizi wa Jeshi hilo, Kamishna Jenerali, John Minja alisema katika kutekeleza agizo hilo la Rais Magufuli la kujiendesha kibiashara, tayari Jeshi limeandaa andiko la miradi ambalo limekwisha kabidhiwa Tume ya Mipango.
10 years ago
Mwananchi22 Jun
MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima
10 years ago
Habarileo30 Aug
Pinda- Dunia inajimaliza yenyewe
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema tatizo la mabadiliko ya tabianchi na athari zake kwa dunia ni kubwa, hivyo kama suala hilo halitapewa kipaumbele na uzito stahiki, dunia itajimaliza yenyewe.
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
CHADEMA magamba yanavuka yenyewe
HADI sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina kila sababu ya kujivuna, katika mambo yote kina jambo moja kubwa la kujivunia, ukomavu wa kisiasa. Ukomavu huo unadhihirisha kuwa CHADEMA...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA, KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Ukawa inajifunga goli la mkono yenyewe!
SITAKI kuamini kwamba safari ya vyama vya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwisho wake ni kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Sitaki kuamini kutokana na matamko yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa umoja huu baada ya uamuzi wao wa kususia
mijadala iliyokuwa ikiendelea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Ilikuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, aliyehamasisha wajumbe wa Bunge...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM inatengeneza wapinzani wake yenyewe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
WAZIRI HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA NA KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa kutafuta...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s72-c/7.jpg)
CCM YAJADILI KUJIENDESHA KIUCHUMI NA MIPANGO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s1600/7.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanga makabrasha tayari kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo masuala ya kujiendesha kiuchumi na mipango ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanajadiliwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1Arec1KwvdU/VEDVh4fqaaI/AAAAAAAASY4/xEh3hyhoNiE/s1600/1.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...