TSN BOYS KUKABILI MWANANCHI MEDIA KOMBE LA NSSF KESHO: MROKI AIAHIDI DAU NONO
Kikosi cha TSN Boys
TIMU ya soka ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) inashuka dimba la Sigara, Chang’ombe, Dar es Salaam kuikabili Mwananchi katika Kombe la NSSF kwa Vyombo vya Habari 2014.
Mechi hiyo itakayochezwa saa 2 asubuhi, itakuwa muhimu kwa timu zote mbili kwani mshindi atasonga mbele katika hatua ya robo fainali zitakazoanza Jumatatu ijayo.
TSN imetinga hatua hiyo baada ya kupewa ushindi kutokana na wapinzani wao, Mlimani Media kuwatumia wachezaji ambao hawakuwa halali....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMROKI AIAHIDI DAU NONO: TSN BOYS KUKABILI MWANANCHI MEDIA KOMBE LA NSSF KESHO
11 years ago
TheCitizen03 Apr
Mwananchi FC take on TSN as Queens confront Sahara
10 years ago
Michuzi22 Mar
NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-z_QgRK2k27s/VmAbNSwwSeI/AAAAAAAIJ_Q/IKaPTVAhI50/s72-c/IMG_6332.jpg)
KUPIGA PICHA NA KOMBE LA BARCLAYS PREMIER LEAGUE KESHO LITAKUWA IPP MEDIA, MLIMANI CITY, MAZESE, BIAFRA NA VIWANJA VYA KARUME JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_QgRK2k27s/VmAbNSwwSeI/AAAAAAAIJ_Q/IKaPTVAhI50/s640/IMG_6332.jpg)
10 years ago
MichuziKOMBE LA MEYA SHINYANGA 2015 LAZINDULIWA,TIMU 18 KUCHUANA, MSHINDI KUONDOKA NA ZAWADI NONO!
Mashindano hayo ambayo yameandaliwa na mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafidh Mukadam na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji baridi ya Pepsi (SBC Tanzania Ltd) yanashirikisha timu 17 za kata zote za manispaa hiyo na timu ya polisi Shinyanga.
Mashindano ya Kombe la Meya Shinyanga yakihusisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1gLiPf81H7s/U7BNFyj-71I/AAAAAAAFtec/oD3aolA6NZU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
timu ya african boys ya kitope ndio mabingwa wa kombe la zaweda
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s72-c/tt.jpg)
TANZANIA BOYS YANYAKUA KOMBE LA MIAKA 40 YA MSUMBIJI JIJINI MAPUTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pxa4t9jVUdI/VZ_cqYUyRuI/AAAAAAAHogw/6V5v0D3f9eg/s640/tt.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tbAOa0Cg3M4/U9TDAhXUqTI/AAAAAAAF6_Y/cLSMjXL-Uio/s72-c/serengeti+boys.jpg)
SERENGETI BOYS KUELEKEA AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbAOa0Cg3M4/U9TDAhXUqTI/AAAAAAAF6_Y/cLSMjXL-Uio/s1600/serengeti+boys.jpg)
Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya pili itachezwa Jumamosi, Agosti 2 mwaka huu kwenye Uwanja wa Dobsonville uliopo Soweto, Johannesburg kuanzia saa 9 kamili mchana kwa saa za Afrika Kusini.
Timu hizo zilitoka suluhu katika mechi ya kwanza iliyofanyika Julai 18 mwaka huu kwenye...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kumekucha Kombe la NSSF