Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunatunga katiba ya Tanzania kwa mavazi ya kimagharibi!

KUNA vihoja vingi ambavyo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanavifanya kila siku. Kwa ujumla, vikao vya Bunge hilo vimeanza kwa kusuasua. Kulikuwa na uahirishaji wa mara kwa mara ambao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mavazi Bunge la Katiba kizungumkuti

Wakati kanuni za uvaaji wa wajumbe wa Bunge la Katiba zikiandaliwa, mavazi kwa wageni na watumishi bado ni kizungumkuti baada walinzi kuwaruhusu waliovaa suruali aina ya `jeans’, kaptula na vipedo huku wengine wakizuiwa kuingia na nguo hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Waandishi waonja chungu ya makali ya kanuni ya mavazi Bunge la Katiba

>Wakati mapendekezo ya Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba haijapitishwa, maofisa usalama jana walianza kuzitumia kanuni hizo kuwazuia wanawake waliovaa nguo fupi.

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london

Mwaka jana mwezi kama huu wa Februari, ilikuwa mara ya kwanza Tanzania kuonyesha mavazi yake katika tamasha maarufu la kimataifa la mavazi London

 

9 years ago

Mtanzania

Wabunifu wa mavazi waungana kuiombea amani Tanzania

martinkadindaNA CHRISTOPHER MSEKENA

WABUNIFU wa mavazi nchini, Mustafa Hassanali, Kiki Zimba na Martin Kadinda wameungana kwa ajili ya kufanya onyesho la mavazi la kuiombea amani nchi ‘Fashion For Peace’ kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Onyesho hilo litafanyika Jumamosi kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam kuanzia saa mbili usiku.

“Hekima, Umoja na Amani ndio ngao zetu, ni muhimu kwetu vijana kuhakikisha tunadumisha na kulinda amani yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu,”...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya Mavazi Kuhamasisha Amani Tanzania kufanyika Oktoba 17 Dar

20151006142603450_640_905_1_0

FASHION FOR PEACE: Fashion Show on Saturday 17th October at 8PM at King Solomon Hall (Behind Eaters Point, Namanga) Dar es Salaam, Tanzania.

GET YOUR TICKET: +255767123055 www.mustafahassanali.net

 

 

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri

2

Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.

Na Anitha Jonas –Maelezo.

SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum  la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki awaudhi Waarabu kwa mavazi

Mwanamuziki wa asili ya Lebanon awa gumzo mitandaoni baada ya kuvaa mavazi ya kuonyesha maungo yake

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunifu wa mavazi ya watu maarufu aliyejiua kwa madeni

MBUNIFU wa mitindo na mwanamitindo maarufu wa Marekani, L’Wren Scott, alikutwa amefariki dunia nyumbani kwake hivi karibuni. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi jijini Manhattan, New York, inasema Laura ‘Luann’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani