TUNDA MAN KUFUNGA NDOA MWAKA HUU
Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection,Tunda Man amefunguka kuwa kati ya mipango yake aliyoifanya mwaka huu ni pamoja na kutarajia kufunga ndoa mwaka huu.
Akipiga story na 255 ya xxl alisema kuwa kila kitu kipo sawa na kinachosubiriwa ni siku yenyewe tu ifike. ‘’Kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni siku yenyewe ya kufunga ndoa kwani ndiyo mipango yangu ya mwaka huu’’alisema Tunda Man. Akizungumzia ishu ya kuwa kila msanii akioa hushuka kisanii alisema kuwa hafikirii kuwa atashuka...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake
9 years ago
GPLNAKUSOGEZEA 3 ZA TUNDA MAN MWEZI HUU
11 years ago
GPLMENEJA NA KAKA WA P-SQUARE JUDE “ENGEES” OKOYE KUFUNGA NDOA MWEZI HUU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV8Rp6qG*11lDKqoOOwYfjF0rehXz-i7HmsmwhLCZOH8o04ANuEpUgCRMjpMi9eHJ7aQTOaLUr1FY0Lrttf3HRQ/diamondnazari.jpg?width=650)
DIAMOND: TAYARI NIMEMVALISHA PETE YA UCHUMBA ZARI, KUINGIA KATIKA NDOA MWAKA HUU
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
Faiza Aelezea Magumu Aliyopitia Mwaka Huu,Likiwemo Swala la Ndoa Yake Kuota Mbawa
Mwigizaji wa filamu, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto mmoja aliezaa na Mh.Joseph Mbilinyi “Sugu” ameelezea ni kwajinsi gani mwakuu mabao yalivyo muendea vijabaya ikiwemo kupeperuka kwa ndoa yao, lakini sasa anajipanga kuanza vyema mwakani.
Wakati huu mwaka unaanza, nakumbuka nilikua Mbeya mwezi January ilikua ni baada ya kumbatiza Sasha wakatti wa Christmas,wakati huo nilikua na matumaini makubwa sana pia tulikua tumepanga ndoa yetu iwe mwezi wa tano na ni kwa sababu ni siku ya kuzaliwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9eaArg5hCFo2QOfZ7yGdeYPv1svaWaYMIw9WGJ1ctft7aaJT9UDfSIFr-opbM7sjC50QNyzOOcB2GwxeZ5wgMva/tunda21.jpg?width=650)
TUNDA ATANGAZA NDOA NA YOUNG D
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci2PsMqfmmwWv1HplrfKJguHTWxHxLYte1EPMFu-T-9AHsrHB6splLKF7nfU*UtqU6dOkxkV2yjQsiJdHGFr7apj/unnamed.jpg?width=650)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb*wPh4RIeakRBwfHw0NLYMMiWlmwsuzFWH8tt6CI-0note2z96wPDPDCQbtWueCvaY6eWoYzrTkNV9r2Ida7bJC/tunda.jpg)
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...