MENEJA NA KAKA WA P-SQUARE JUDE “ENGEES” OKOYE KUFUNGA NDOA MWEZI HUU
Jude “Engees†Okoye akiwa na mpenzi wake Ify Umeokeke. MENEJA na kaka wa P-Square, Jude “Engees†Okoye anatarajia kufunga ndoa ya kimila na mchumba wake, Ify Umeokeke mwezi huu. Wapenzi hao ambao walivishana pete Aprili 24 wakati wa bethidei ya Jude pia wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza hivi karibuni. Ndoa yao inatarajiwa kufungwa Nnewi, Anambra nchini Nigeria. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Meneja Sauti Sol kufunga ndoa na mwanamitindo
MWANAMITINDO mwenye jina kubwa nchini Kenya, Annabel Onyango na meneja wa kundi la muziki la Sauti Sol, Marek Fuchs, wanataraji kufunga ndoa ya kihistoria nchini hapo.
Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyamoja, wachumba hao wa muda mrefu watafunga ndoa hiyo Septemba 19 na sherehe itafanyika katika hoteli ya Great Rift Valley tofauti na inavyofikiriwa kufanyika mjini ama kijijini kwao.
Wakati wote wa maandalizi ya harusi yao hiyo wapenzi hao wameweka kila kitu chao kitakachotokea kwa kila siku hadi...
10 years ago
CloudsFM04 Feb
TUNDA MAN KUFUNGA NDOA MWAKA HUU
Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection,Tunda Man amefunguka kuwa kati ya mipango yake aliyoifanya mwaka huu ni pamoja na kutarajia kufunga ndoa mwaka huu.
Akipiga story na 255 ya xxl alisema kuwa kila kitu kipo sawa na kinachosubiriwa ni siku yenyewe tu ifike. ‘’Kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni siku yenyewe ya kufunga ndoa kwani ndiyo mipango yangu ya mwaka huu’’alisema Tunda Man. Akizungumzia ishu ya kuwa kila msanii akioa hushuka kisanii alisema kuwa hafikirii kuwa atashuka...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-TVFc4NqpAaw/Va087M8zegI/AAAAAAAACsY/3n2f71JDC18/s72-c/u3CzquVwHKtF3bsInN9enFQz.jpg)
P-SQUARE (PETER & PAUL OKOYE) PROFILE
![](http://1.bp.blogspot.com/-TVFc4NqpAaw/Va087M8zegI/AAAAAAAACsY/3n2f71JDC18/s640/u3CzquVwHKtF3bsInN9enFQz.jpg)
P-Square are a Nigerian R&B duo composed of identical twin brothers Peter Okoye and Paul Okoye. They produced and released their albums through Square Records. In December 2011, they signed a record deal with Akon's Konvict Muzik label. In May 2012, they signed a record distribution deal with Universal Music South Africa.
The story of P-Square began in St. Murumba secondary school, a small Catholic school in Jos, Nigeria. Identical twins Peter and Paul joined their school music and drama club...
10 years ago
Bongo525 Nov
P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye
11 years ago
GPL26 Mar
10 years ago
Bongo513 Oct
Peter Okoye (P-Square) apata shavu la ubalozi wa Olympic Milk
10 years ago
Bongo530 Jan
Mr. Okoye (Baba yao P-Square) aliyefariki Nov 24, 2014 Kuzikwa leo Jan 30, 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ**gQFD*b2ApDlBJ7fJRalKi083wfZhBnpVg9MqAnrqzDoVAUsN3iQtdqVjeui8UIuC8m3MMfAwQP6Xn9IJz5Fb/Mgongo.jpg?width=650)
“NINA TATIZO LA MGONGO”
11 years ago
CNN (Blog)14 Feb
Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”
IPPmedia
CNN (blog)
That's the dire message from the president of Tanzania, who spoke to CNN's Christiane Amanpour about his country's battle against wildlife poaching. President Jakaya Kikwete joined Amanpour in London, where heads of state are meeting to find a solution ...
Tourism asset protection Tanzanian President bans the sale of ivory stockpileeTurboNews
Tanzania president says poaching boom threatens elephant populationReuters
Mulls...