Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MENEJA NA KAKA WA P-SQUARE JUDE “ENGEES” OKOYE KUFUNGA NDOA MWEZI HUU

Jude “Engees” Okoye akiwa na mpenzi wake Ify Umeokeke. MENEJA na kaka wa P-Square, Jude “Engees” Okoye anatarajia kufunga ndoa ya kimila na mchumba wake, Ify Umeokeke mwezi huu. Wapenzi hao ambao walivishana pete Aprili 24 wakati wa bethidei ya Jude pia wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza hivi karibuni. Ndoa yao inatarajiwa kufungwa Nnewi, Anambra nchini Nigeria. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Meneja Sauti Sol kufunga ndoa na mwanamitindo

Sauti SoulMWANAMITINDO mwenye jina kubwa nchini Kenya, Annabel Onyango na meneja wa kundi la muziki la Sauti Sol, Marek Fuchs, wanataraji kufunga ndoa ya kihistoria nchini hapo.

Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyamoja, wachumba hao wa muda mrefu watafunga ndoa hiyo Septemba 19 na sherehe itafanyika katika hoteli ya Great Rift Valley tofauti na inavyofikiriwa kufanyika mjini ama kijijini kwao.

Wakati wote wa maandalizi ya harusi yao hiyo wapenzi hao wameweka kila kitu chao kitakachotokea kwa kila siku hadi...

 

10 years ago

CloudsFM

TUNDA MAN KUFUNGA NDOA MWAKA HUU

Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection,Tunda Man amefunguka kuwa kati ya mipango yake aliyoifanya mwaka huu ni pamoja na kutarajia kufunga ndoa mwaka huu.Akipiga story na 255 ya xxl alisema kuwa kila kitu kipo sawa na kinachosubiriwa ni siku yenyewe tu ifike. ‘’Kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni siku yenyewe ya kufunga ndoa kwani ndiyo mipango yangu ya mwaka huu’’alisema Tunda Man. Akizungumzia ishu ya kuwa kila msanii akioa hushuka kisanii alisema kuwa hafikirii kuwa atashuka...

 

10 years ago

Africanjam.Com

P-SQUARE (PETER & PAUL OKOYE) PROFILE


P-Square are a Nigerian R&B duo composed of identical twin brothers Peter Okoye and Paul Okoye. They produced and released their albums through Square Records. In December 2011, they signed a record deal with Akon's Konvict Muzik label. In May 2012, they signed a record distribution deal with Universal Music South Africa.



The story of P-Square began in St. Murumba secondary school, a small Catholic school in Jos, Nigeria. Identical twins Peter and Paul joined their school music and drama club...

 

10 years ago

Bongo5

P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye

Miaka miwili baada ya kumpoteza mama yao mzazi, mapacha wa kundi la P-Square la Nigeria Peter na Paul pamoja na kaka yao Jude Okoye wamepatwa na msiba mwingine. Wameondokewa na baba yao Mr Okoye aliyefariki dunia Jumatatu Nov.24. Vyanzo vya karibu vimesema kuwa Mr. Okoye alidondoka akiwa anaelekea hospitali huko jijini Lagos. Inadaiwa kuwa siku […]

 

10 years ago

Bongo5

Peter Okoye (P-Square) apata shavu la ubalozi wa Olympic Milk

Mmoja wa mapacha wa kundi la P-Square, Peter Okoye amechaguliwa kuwa balozi wa Olympic Milk. Dili hilo linadaiwa kuwa la mamilioni ya naira. Hii ni mara ya kwanza kwa mmoja wa ndugu hao kusaini mkataba wake mwenyewe kwakuwa mikataba mingi husaini pamoja. Wafuatiliaji wa burudani nchini Nigeria wanahisi hiyo inaweza kuwa ni dalili ya kutokuwepo […]

 

10 years ago

Bongo5

Mr. Okoye (Baba yao P-Square) aliyefariki Nov 24, 2014 Kuzikwa leo Jan 30, 2015

Taarifa iliyowashtua wengi ni kuwa baba mzazi wa mapacha Peter na Paul wa kundi la P-Square la Nigeria, Mr. Moses Okoye aliyefariki dunia November 24 mwaka jana hakuzikwa mpaka sasa. P-Square na baba yao wakati wa mazishi ya mama yao Mzee huyo anatarajiwa kuzikwa leo Ijumaa January 30 huko nyumbani kwao Ifite Dunu, Anambra State. […]

 

10 years ago

GPL

“NINA TATIZO LA MGONGO”

Stori: Imelda Mtema na Denis Mtima/UWAZI
INASIKITISHA! Mtoto Seif Sudi Seif, 15, (pichani), wa Shule ya Msingi Hedenzeri, Tanga analia kwa uchungu akitaka kusaidiwa ili aweze kutimiza ndoto zake kutokana na tatizo lake la kushindwa kutembea kutokana na kuumwa mgongo. Mtoto Seif Sudi Seif akishindwa kutembea kutokana na tatizo la mgongo. Mama wa mtoto huyo, Fatuma Hemed aliliambia gazeti hili akiwa nyumbani kwa shemeji yake...

 

11 years ago

CNN (Blog)

Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”


IPPmedia
Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”
CNN (blog)
That's the dire message from the president of Tanzania, who spoke to CNN's Christiane Amanpour about his country's battle against wildlife poaching. President Jakaya Kikwete joined Amanpour in London, where heads of state are meeting to find a solution ...
Tourism asset protection Tanzanian President bans the sale of ivory stockpileeTurboNews
Tanzania president says poaching boom threatens elephant populationReuters
Mulls...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani