Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusonge mbele

MAPEMA wiki hii, serikali ilinunua mashine mpya ya CT-Scan inayotajwa kugharimu dola za Marekani

Ezekiel Kamwaga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tuliteleza mikataba ya madini, sasa tusonge mbele

Tanzania ni taifa lililojaliwa madini mengi ya kila aina. Kitaalamu madini maana yake ni kitu chochote kinachokuwa katika mfumo wa kimiminika, kigumu (solid) au gesi ambacho ni cha kiasili kinachopatikana ardhini au chini ya bahari, maziwa, mito au kinapitia mfumo wa kijiologia lakini siyo mafuta au maji, kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 kifungu cha 4.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuliteleza mikataba ya madini, sasa tusonge mbele-2

Haiingii akilini kuona kampuni za kigeni zinazochimba madini Tanzania zinawekeza nchi za nje, huku wananchi wa Tanzania wakiendelea kuwa maskini.

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: UMOJA WETU NDIO UTATUFANYA TUSONGE MBELE

Waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na aliyewahi kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha, Joshua Kileo (Kulia)  baada ya ibada katika kanisa la KKKT Mjini Kati siku ya Jumapili.************WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema pamoja na mitihani mikubwa ambayo taifa inakabiliana nayo, umoja wa Watanzania utaifanya nchi isonge mbele kama taifa linalozingatia sheria na demokrasia.Akizungumza baada ya Ibada ya Jumapili ya Pili ya Pasaka iliyofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

Shirika La Bima La Taifa (NIC) ladhamini kipindi cha “Stars Kwanza Tusonge Mbele” kilichobuniwa na 93.7 EFM radio na TFF

Mkurugenzi wa Masoko  wa Shirika La Bima La Taifa (NIC) Bwana Elisante Maleko ametebelea studio za Efm.NIC ni wadhamini wa kipindi cha  “Stars Kwanza Tusonge Mbele” kilichobuniwa na  93.7 EFM radio na TFF kuhamasisha wananchi kurejesha upya mapenzi yao kwa timu ya Taifa Stars. Pichani kutoka kushoto ni Masoud Maestro, Elisante Maleko wa NIC , Maulid Kitenge, Musa Kawambwa, Dennis ssebo na  Oscar Oscar wa Team Michezo ya EFM 93.7 

 

5 years ago

Bongo5

Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje

Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.

Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.

Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!

SIMBaaaaaKikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.

Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...

 

9 years ago

GPL

SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE

Mgombea Ubunge wa jimbo la Gairo kwa tiketi ya CCM, Ahmed Shabiby. “Nimeamua kugombea tena ubunge kwa sababu najua wananchi wa Gairo wananihitaji, mafanikio makubwa niliyowaletea katika kipindi chote nilichokuwa mbunge yamewafurahisha na wanaamini kwamba mimi ndiye mkombozi wao. “Kwa kipindi chote nilichokuwa madarakani nimeshafanya mambo mengi ya kuwasaidia wananchi na wao ni mashahidi wa hilo ndiyo maana...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Ukawa sasa ni mbele kwa mbele

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kamwe hautarudi nyuma katika makubaliano yaliyofikiwa juzi, likiwamo la kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi mbalimbali za uongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani