Tuwasikilize viongozi wa dini kuhusu Katiba
Tangu mchakato wa kupata Katiba Mpya uanzishwe yapata miaka mitatu sasa, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini hapa nchini wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kuwapo maridhiano miongoni mwa makundi mbalimbali ili ipatikane Katiba nzuri itakayowakilisha matakwa na maoni ya wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
.jpg)
.jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Viongozi wa dini wasikitikia Katiba
11 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Viongozi wa dini wapingana Bunge la Katiba
WAKATI Taasisi mbalimbali za kidini nchini zikiendelea kumwomba Rais Jakaya Kikwete alisitishe Bunge Maalum la Katiba, wakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetumia wingi wa wajumbe wake kupuuza maoni ya wananchi...
11 years ago
Habarileo03 Aug
Viongozi wa dini wahimizwa kuombea Bunge la Katiba
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher ole Sendeka amewaomba viongozi wa dini, kuliombea Bunge la Katiba ili kusaidia kupatikana kwa Katiba bora itakayowaongoza Watanzania katika maisha yao ya kila siku.
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA ATEMBELEA VIONGOZI WA DINI
5 years ago
Michuzi
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA

Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Tuwasikilize CCM tupate bora Katiba au tuwapuuze tukose yote?