Tuwasikilize viongozi wa dini kuhusu Katiba
Tangu mchakato wa kupata Katiba Mpya uanzishwe yapata miaka mitatu sasa, viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini hapa nchini wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kuwapo maridhiano miongoni mwa makundi mbalimbali ili ipatikane Katiba nzuri itakayowakilisha matakwa na maoni ya wananchi.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania