Tuzo za BET 2015
Sam Smith ameshinda tuzo la msani bora mpya katika tamasha la mwaka huu la tuzo za BET mjini Los Angeles.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHAWA NDIYO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2015
Diddy na Lil Kim wakifanya makamuzi katika utoaji tuzo za BET 2015. Janet Jackson akiwa na tuzo yake. Rihanna katika…
10 years ago
GPLSAUTI SOL WATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2015
Wasanii wanaounda kundi maarufu la Sauti Sol nchini Kenya. BEST FEMALE R&B/POP ARTIST
BEYONCÉ
CIARA
JANELLE MONÃE
JHENÉ AIKO
K. MICHELLE
RIHANNA BEST MALE R&B/POP ARTIST
AUGUST ALSINA
CHRIS BROWN
JOHN LEGEND
THE WEEKND
TREY SONGZ
USHER BEST GROUP
A$AP MOB
JODECI
MIGOS
RAE SREMMURD
RICH GANG
YOUNG MONEY BEST… ...
10 years ago
GPLCHRIS BROWN, NICKI MINAJ VINARA WA KUTAJWA TUZO ZA BET 2015
Chris Brown na Nicki Minaj wote wanawania tuzo katika vipengele 6. WANAMUZIKI Chris Brown na Nicki Minaj wameongoza kwa kutajwa mara nyingi katika vipengele vya kuwania Tuzo za BET 2015 kwa kila mmoja kutajwa mara sita. Nicki Minaj. Katika kipengele cha video bora ya mwaka, Brown ametajwa mara mbili kwa video zake za Loyal na New Flame.
Minaj naye yupo juu akitajwa katika vipengele sita kikiwemo cha video bora ya mwaka kwa...
11 years ago
GPLTUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT
Davido akiwa na tuzo yake. Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ametwaa tuzo ya BET ya Best African Act iliyokuwa pia ikiwaniwa na msanii Diamond Platinumz wa Tanzania. Katika kundi hilo pia walikuwemo Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), Tiwa Savage (Nigeria) na Toofan (Togo). Baada ya kutwaa tuzo hiyo, Davido aliandika hivi katika akaunti yake ya Instagram:… ...
11 years ago
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania