Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuzo za Kili zichague muziki bora siyo maarufu

Tuzo maarufu za muziki nchini ‘Kilimanjaro Music Award’ zinazoratibiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kwa kushirikiana na kampuni ya bia (TBL) zinatarajiwa kufanyika Mei 3 kwenye Uukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FID Q NAYE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU TUZO ZA KILI NA MUZIKI WA HIP HOP

Rapper Farid Kubanda a.k.a Fid Q akipozi na baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers Ltd. Fid Q akiwa na waandishi wa Championi, Sweetbert Lukonge (kulia) na Nicodemus Jonas.…

 

10 years ago

Michuzi

TUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015

Mkurugenzi wa Biashara Zanzibar Nd. Mohamed Baucha wa kulia akimkabidhi Tunzo ya Video bora ya mwaka muziki wa kizazi kipya Nassir Hassan (Vanila) mara baada ya kuibuka mshindi, tunzo hizo zimeandaliwa na Kampuni ya Zanzibar Media Corporation LTD katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Salama Hall  Bwawani Mjini Zanzibar. Mwanamitindo marufu wa Zanzibar Farouk Abdillahi akimkabidhi Tunzo ya Video bora mwaka ya Taraab Bi. Saada Nassor Meneja wa Zenji Entertainment Seif Moh'd (kushoto) akimkabidhi...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWANASIASA MAARUFU; KUMBE SIYO KOMBA

Stori:GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAH/Risasi
HUKU maelfu ya Watanzania wakiamini kwamba, kifo cha aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni John Damiano Komba ndiyo kile kilichotabiriwa na mnajimu Maalim Hassan Hussein Yahya, mwenyewe ameibuka na kusema sicho! Marehemu Kapteni John Damiano Komba.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Maarufu wa Tanzania aacha muziki kutokana na msongo wa mawazo

Vanessa mdee ni miongoni mwa wanamuziki maarufu wa kike nchini Tanzania na barani Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Kili fikirieni na kutuza muziki mzuri

>Usiku wa tuzo za muziki za Tanzania, zilitopachikwa jina la Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) ni leo ambapo wasanii zaidi ya 32 watatunukiwa tuzo maalumu kwa kazi nzuri ya sanaa waliyoifanya mwaka jana, ikiwa ni moja ya kati ya hatua zitakazosaidia kuleta hamasa zitakazosaidia kuupeleka muziki wetu katika kilele cha mafanikio.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Ken Rogers aliyefahamika kwa wimbo kama vile The Gambler, "ameacha historia siyoweza kufutika " katika muziki, imesema familia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani