Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Kili fikirieni na kutuza muziki mzuri

>Usiku wa tuzo za muziki za Tanzania, zilitopachikwa jina la Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) ni leo ambapo wasanii zaidi ya 32 watatunukiwa tuzo maalumu kwa kazi nzuri ya sanaa waliyoifanya mwaka jana, ikiwa ni moja ya kati ya hatua zitakazosaidia kuleta hamasa zitakazosaidia kuupeleka muziki wetu katika kilele cha mafanikio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Kukosa tuzo kutanifanya nitoe muziki mzuri zaidi

christian bellaNA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI wa Bolingo, Christian Bella, ameweka wazi kwamba kukosa kwake tuzo hata moja kutampa nguvu ya kuandaa kazi nzuri zaidi ya alizozitoa kwa mwaka jana.
Bella aliongeza kwamba, anajiamini muziki anaofanya unapendwa na wengi, kukosa tuzo hakutamrudisha nyuma bali kutamfanya aongeze nguvu zaidi ya kufanya muziki mzuri.
“Unajua mimi siku zote najijua kama nafanya kazi nzuri na mashabiki wananikubali, ila kukosa tuzo hakunivunji moyo, yaani ni sawa na kunizidishia akili...

 

10 years ago

GPL

UKITAKA RAHA NA BURUDANI YA MUZIKI MZURI BASI NI SKYLIGHT BAND PEKEE LEO NDANI YA THAI VILLAGE‏

Majembe ya kazi wakiwajibika jukwaaani ili kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village Kutoka kushoto ni Joniko Flower akifuatiwa na Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo. Mwambie yule na yule na wale tukutane pale kati kwa uchakavu wa Tshs 5,000 tu getini. Skylight Band Divas wakishirikiana kwa pamoja kutoa vocal tamuuuuuuu ndani ya kiota cha maraha...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzo za Kili zichague muziki bora siyo maarufu

Tuzo maarufu za muziki nchini ‘Kilimanjaro Music Award’ zinazoratibiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kwa kushirikiana na kampuni ya bia (TBL) zinatarajiwa kufanyika Mei 3 kwenye Uukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Unaambiwa hiviii, ukitaka raha na burudani ya muziki mzuri basi ni Skylight Band pekee leo ndani ya Thai Village

9

Majembe ya kazi wakiwajibika jukwaaani ili kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village  Kutoka kushoto ni Joniko Flower akifuatiwa na Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo. Mwambie yule na yule na wale tukutane pale kati kwa uchakavu wa Tshs 5,000 tu getini.

8

Skylight Band Divas wakishirikiana kwa pamoja kutoa vocal tamuuuuuuu ndani ya kiota cha maraha Thai Village. Wa kwanza kushoto ni Mary Luvcos, Digna Mbepera...

 

11 years ago

Dewji Blog

Unaambiwa Hiviii: ukitaka raha na burudani ya muziki mzuri basi ipo Skylight Band pekee ndani ya Thai Village leo

Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na Digna Mbepera(wa pili toka kushoto) wakilianzisha Burudani kwa nguvu zoteee ndani ya Thai Village masaki.Kila ijumaa Bendi yako mahiri na isiyoshikika Skylight Banda wanakuwa Thai Village wakikupa burudani ya nguvuuuu na suprizeee kibaooooo,Usikose Ijumaa Hii.

Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na Digna Mpera(wa pili toka kushoto) wakiimba kwa umakini kabisa ili kuwapa ile kitu roho inapenda mashabiki wao

 

11 years ago

GPL

FID Q NAYE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, AFUNGUKA KUHUSU TUZO ZA KILI NA MUZIKI WA HIP HOP

Rapper Farid Kubanda a.k.a Fid Q akipozi na baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers Ltd. Fid Q akiwa na waandishi wa Championi, Sweetbert Lukonge (kulia) na Nicodemus Jonas.…

 

9 years ago

Michuzi

Tanzania Media Fund (TMF) kutuza waandish kesho

DAR-ES-SALAAM, SEPTEMBA 20 2015 – Mfuko wa Habari Tanzania utatoa kesho tuzo maalum tuzo kwa waandishi waliowezeshwa na TMF na kazi zao kuweza kuleta mabadiliko chanya. Hafla ya utoaji tuzo hizo itafanyikakwenye ukumbi wa LAPF Millenium Towers jijini Dar es salaam kesho tarehe 22 Septemba 2015 na itaambatana na maonyesho ya kazi hizo za kiuandishi. 
 Tukio hilo linatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na watu mashuhuri kutoka kwenye taaluma ya uandishi wa habari pamoja na asasi za...

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha wa Stars, TFF fikirieni Kombe la Dunia 2018

Mwezi ujao, timu yetu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuikabili Malawi au The Flames katika mchezo wa awali wa kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Russia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani