Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUZO ZA MTV: DAVIDO MWANAMZIKI BORA WA KIUME

Mwanamziki Bora wa Kiume, David Adedeji Adeleke 'Davido' Katika kipengele  Mwanamziki Bora wa Kiume walikuwa ni Anselmo Ralph ( wa Angola), Davido (Nigeria), Donald ( Afrika Kusini) , Wizkid (Nigeria) na  Diamond Platnumz (Tanzania).  Diamond alikuwa anawania tuzo mbili lakini hajafanikiwa kushinda kati ya hizo. Tuzo ya best collabo ilitangazwa awali na imechukuliwa na Uhuru ft DJ Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Sasa ni Zamu ya Waigizaji Bora wa Kiume Piga Kura Yako Tuzo za Tafa

Mchakato unaendelea kwa kuwapigia kura waliopendekezwa kuwania tuzo za filamu Tanzania sasa ni zamu ya waigizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015, kila mshindani anaonyesha shauku ya kutaka kuibuka mshindi wa tuzo za filamu Tanzania wote ni wakali mchangue anayemzidi mwezake.

Katika kundi hili unakutana wasanii kama Lumole Matovolwa, Jacob Stephen ‘JB’, Salim Ahmed ‘Gabo’, Omary clayton, Bicco Mathew, Brian Ibrick na Kulwa Kikumba ‘Dude’ ni mpambano wa kukata na shoka .

Piga kura kwa kufuata...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

BASATA YAMPONGEZA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA MWEZI WA KITUO CHA MTV BASE

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini linapenda kutoa pongezi za dhati kwa Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nassib Abdul maarufu kama Diamond kwa kushinda tuzo ya Msanii bora wa mwezi wa kituo cha televisheni cha MTV Base kinachorusha matangazo yake kutoka Afrika Kusini na kuyafikia maeneo mengi duniani.
Aidha, Baraza linampongeza msanii huyu na wenzake Peter Msechu na Vannessa Mdee kwa kuchaguliwa kushindania tuzo mbalimbali katika tuzo za “All...

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT

Davido akiwa na tuzo yake. Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ametwaa tuzo ya BET ya Best African Act iliyokuwa pia ikiwaniwa na msanii Diamond Platinumz wa Tanzania. Katika kundi hilo pia walikuwemo Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), Tiwa Savage (Nigeria) na Toofan (Togo). Baada ya kutwaa tuzo hiyo, Davido aliandika hivi katika akaunti yake ya Instagram:… ...

 

9 years ago

Bongo5

Davido kutambulisha video 5 mpya ambazo hakuwahi kuzitoa Jumamosi hii kupitia MTV Base

Staa wa Nigeria, Davido ana video 5 kwenye maktaba yake ambazo hakuwahi kuzitoa, lakini amepanga kuzitambulisha kwa mashabiki wake Jumamosi hii (Oct.10). Wasanii huwa wana tabia ya kurekodi nyimbo nyingi ambazo baadae huja kuzichuja ili kupata zile kali zaidi za kutoa na zingine kuziweka kwenye album, lakini kuna zingine huwa zinaachwa kabisa endapo kukiwa na […]

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base

NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani