Twiga Stars waendelea kupiga mazoezi Karume
TIMU ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ inayonolewa na Kocha Mkuu Rogasian Kaijage, imeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Azam Chamazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL11 years ago
TheCitizen14 Feb
Twiga Stars out to down Zambians
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Twiga Stars kibaruani
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa
10 years ago
Habarileo12 Aug
Stars `mpya’ yaanza mazoezi
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeanza mazoezi katika Uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
10 years ago
Habarileo08 Aug
Twiga Stars yaenda Zanzibar
TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake, ‘Twiga Stars’ imeondoka jana kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na fainali za michezo ya Matifa Afrika ‘All African Games’ zinatarajiwa kufanyika Congo Brazzaville Septemba mwaka huu.
10 years ago
MichuziTWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.