TZ yaahidi makubwa EAC
Tanzania imeahidi kukamilisha marekebisho ya sheria na taratibu zinazokwamisha uhuru wa biashara miongoni mwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ili kuwezesha kukua kwa biashara na faida ya uwepo wa jumuiya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-gz92q-cRlno/U6rxDNIWA6I/AAAAAAAABQs/TWpHLfyYGNQ/s72-c/tibaijuka+4.jpg)
NHC yaahidi kufanya makubwa zaidi
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuyabadilisha maeneo ya jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini baada ya kuzindua ujenzi wa miji midogo.
Limesema miradi hiyo itakapokamilika itabadilisha mandhari ya maeneo mbalimbali nchini na kuyafanya kuwa ya kisasa.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye jukwaa la uwekezaji lililoshirikisha baadhi ya wakuu wa mikoa na wadau mbaliambali.
Mchechu alisema wataanza na ujenzi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6YGUAetzQEc/Uwm5aGx3LoI/AAAAAAAFO2Y/PN6qKmyhizI/s72-c/unnamed+(2).jpg)
TTCL yaahidi makubwa mradi wa mawasiliano vijijini
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kampuni ya Swala yaahidi makubwa, mwaka mmoja baada ya kuingia katika soko la hisa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, David Mestres Ridge (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu kampuni yake kutimiza mwaka mmoja tangu iingie katika soko la hisa (IPO) ambapo Swala iliingiza jumla ya hisa za kawaida 9,600,000, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa ARCH Financial & Investment Advisory Limited, Iyen Nsemwa.
Kampuni ya uchimbaji mafuta na gesi ya Swala Energy leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuingia katika...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200306_123804_147.jpg)
MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_123804_147.jpg)
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
![](https://1.bp.blogspot.com/-W1ks04dNgRs/XmNaSdYE5UI/AAAAAAAAIW0/990B99_eL6UW2aDj5ZDtiLd07FInX8YvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_125932_263.jpg)
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHi_iV7-SIY/XmNaSD0NZWI/AAAAAAAAIWw/OsQCWOAUnp0rL53vWzIqMiipoAjdSklqgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_130748_352.jpg)
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P8Lv96_Uqk/XmNab1RAEII/AAAAAAAAIXA/svCi6L-8cV8yrC_Jcc8Wv7cbsslscZCxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133428_080.jpg)
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mJ7Ir4_hAfs/XmNaVcCrOxI/AAAAAAAAIW4/_Bs9PqzLOXwA4m685_FDFgeLSGuUL9NbQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133411_049.jpg)
Tunafuatilia mada kwa makini
![](https://1.bp.blogspot.com/-bCdJ697J0-8/XmNaZiVkWLI/AAAAAAAAIW8/tzNf9UvSbocOuXj0caPdzGCZhEAlhJeqwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133418_402.jpg)
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...
11 years ago
MichuziThe Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta engages EAC
---------------------------------------------- The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta, last evening engaged the staff of the Organs of the Community namely; the EAC Secretariat, the East African Legislative...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OHqF9IWhzm8/VFvBTCHB4nI/AAAAAAAGv2A/psdGMvzsCMM/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
EAC AT WORLD TRAVEL MARKET IN LONDON: East Africa is a Safe and Ebola Free Destination, EAC Tells WTM
The five Partner States are being lead by Chairperson of the EAC Council of Ministers, Hon. Phyllis Kandie, who is also Kenya’s Cabinet Secretary, Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism, while Hon. Jesca Eriyo, the EAC Deputy Secretary General (Productive and Social Sectors)...
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi
11 years ago
Mwananchi02 May
Fifa yaahidi kuisaidia Cecafa