Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ yaahidi makubwa EAC

Tanzania imeahidi kukamilisha marekebisho ya sheria na taratibu zinazokwamisha uhuru wa biashara miongoni mwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ili kuwezesha kukua kwa biashara na faida ya uwepo wa jumuiya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

NHC yaahidi kufanya makubwa zaidi


NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuyabadilisha maeneo ya jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini baada ya kuzindua ujenzi wa miji midogo.
Limesema miradi hiyo itakapokamilika itabadilisha mandhari ya maeneo mbalimbali nchini na kuyafanya kuwa ya kisasa.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye jukwaa la uwekezaji  lililoshirikisha baadhi ya wakuu wa mikoa na wadau mbaliambali.
Mchechu alisema wataanza na ujenzi...

 

11 years ago

Michuzi

TTCL yaahidi makubwa mradi wa mawasiliano vijijini

Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imeahidi kutekeleza kwa ufanisi na kwa wakati zabuni iliyoshinda ya mradi wa kutoa huduma za mawasiliano vijijini. Ahadi hiyo imetolewa na Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni hiyo, Bw. Peter Ngota alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kampuni hiyo kutiliana saini na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  TTCL inatekeleza mradi huo wenye thamani ya Tshs 9.8 bilioni baada ya kushinda zabuni hiyo....

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Swala yaahidi makubwa, mwaka mmoja baada ya kuingia katika soko la hisa

PHOTO SWALA1

Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, David Mestres Ridge (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu kampuni yake kutimiza mwaka mmoja tangu iingie katika soko la hisa (IPO) ambapo Swala iliingiza jumla ya hisa za kawaida 9,600,000, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa ARCH Financial & Investment Advisory Limited, Iyen Nsemwa.

Kampuni ya uchimbaji mafuta na gesi ya Swala Energy leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuingia katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA


Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
Tunafuatilia mada kwa makini
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...

 

11 years ago

Michuzi

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta engages EAC

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta addresses EAC Staff as Amb Sezibera and Chair of the Council hon. Phyllis Kandie looks on
----------------------------------------------  The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta, last evening engaged the staff of the Organs of the Community namely; the EAC Secretariat, the East African Legislative...

 

10 years ago

Michuzi

EAC AT WORLD TRAVEL MARKET IN LONDON: East Africa is a Safe and Ebola Free Destination, EAC Tells WTM

The East African Community is show-casing the region’s tourism potential and marketing the five Partner States as a Single Tourist Destination at the ongoing World Travel Market in London, United Kingdom.
The five Partner States are being lead by Chairperson of the EAC Council of Ministers, Hon. Phyllis Kandie, who is also Kenya’s Cabinet Secretary, Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism, while Hon. Jesca Eriyo, the EAC Deputy Secretary General (Productive and Social Sectors)...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi

Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Fifa yaahidi kuisaidia Cecafa

>Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeahidi kuzisaidia timu zinazotoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ili zifanikiwe zaidi katika soka na kuweka ushindani duniani kote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani