Ualimu ngazi ya cheti usifutwe sasa
Ualimu ni wito. Huo umekuwa ni usemi maarufu ambao umetumika katika jamii yetu kwa muda mrefu, lakini unahitaji kuangaliwa upya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Oct
Ualimu ngazi ya cheti wafutwa
SERIKALI imefuta rasmi mafunzo ya ualimu ngazi ya Cheti yaliyokuwa yakitolewa katika Vyuo vya Ualimu Daraja la A vilivyopo sehemu mbalimbali nchini. Kufuatia kufutwa kwa mafunzo ya cheti, watakaochukuliwa kwa ajili ya masomo ya ualimu kwenye vyuo vya ualimu wa diploma ni waliopata daraja la tatu na kuendelea na watakapohitimu mafunzo ya miaka miwili ya Diploma (Stashahada) ya ualimu watapangiwa kufundisha kuanzia shule za awali za serikali, msingi na sekondari.
11 years ago
Michuzi21 Apr
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mxr*kvxWuor9FykU1ax-jPWPGDd3sOTlIEdbLt6mNFv3ANZZZIYXbbOCwf*TYM8o9f2TjJNXJ1ERugkSeoshZTO/SimonMwakifwamba.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA: SASA NAACHIA NGAZI
11 years ago
Michuzi31 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015 NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015 ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA. FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com REGEMBA CHUONI -0753 038336 DAR ES SALAAM -BOKO...
11 years ago
Michuzi27 May
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU CHA RUNGEMBA, MAFINGA, IRINGA
1. MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) 'DIPLOMA IN SECONDARY' (DSEE) KWA MIAKA 2 Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha sita (v1) na ufaulu wa principal (1) subsidiary (1) 2. UALIMU DARAJA LA 111-A - NGAZI YA CHETI (CATCE) - KWA MIAKA 2. Sifa za mwombaji - awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012) au alama 32-34 (kwa mwaka2013) 3. MAFUNZO...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mafunzo ualimu
UKOSEFU wa fedha kwa mwaka 2013/14 na mwaka 2014/15, umeyafanya mafunzo ya vitendo kwa walimu nchini yatolewe kwa muda chini ya wiki nane, tofauti na maelekezo ya mtaala wa mafunzo ya ualimu unavyoelekeza.
11 years ago
Habarileo22 Jul
Wanafunzi wa ualimu waonywa
WANAFUNZI wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Shule ya Msingi (ODPE) na Sekondari, wamepewa angalizo juu ya utaratibu wa kuomba udahili, wakisisitizwa vyuo haviruhusiwi kudahili moja kwa moja.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mwanafunzi wa ualimu auawa
MWANAFUNZI wa ualimu aliyekuwa anasoma mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa, Manispaa ya Sumbawanga, Zakayo Anosisye (25) ameuawa na watu wasiofahamika.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Or426ANukL4/U3eFpvdzRYI/AAAAAAAFigA/jgRp4mUPzq4/s72-c/Premeier+Girls+Sec.+School.jpg)
NAFASI ZA KAZI YA UALIMU BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Or426ANukL4/U3eFpvdzRYI/AAAAAAAFigA/jgRp4mUPzq4/s1600/Premeier+Girls+Sec.+School.jpg)
Shule ya sekondari ya wasichana ya Premier iliyoko Kiromo Bagamoyo inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo
ENGLISH
SWAHILI
BOOKKEEPING
COMMERCE
Fika shuleni Kiromo kwa kuleta maombi yako siku ya mahojiano ni tarehe 22 na 23 May 2014 au kwa maelezo zaidi piga simu namba 0715836237