Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubakaji kukomeshwa,DR Congo

Makamanda wa jeshi la Jamhuri ya Demokasi ya Congo,wamesaini maazimio yanayolenga kukomesha vitendo vya ubakaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wachokozi kwenye mitandao kukomeshwa TZ

Mikasa ya watu kuibiwa na kudhalilishwa kwenye mitandao imekithiri TZ lakini mswaada mpya unatarajiwa kukomesha vitendo hivyo

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ataka siasa za chuki kukomeshwa

 Dk Titus KamaniWAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amewataka wananchi wilayani Busega kuelewa kuwa, siasa za chuki na uhasama kamwe hazitaweza kuwaletea maendeleo zaidi ya kuwavuruga na kukwamisha shughuli za maendeleo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gaza :vita kukomeshwa kwa siku 5 zijazo.

Israeli na palestina zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku 5 zijazo katika makubaliano mapya.

 

11 years ago

Habarileo

Rais Shein ataka udhalilishaji wa kijinsia kukomeshwa

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka miezi iliyobakia ya mwaka wa 2014, iwe ya kupambana na kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Katika utekelezaji wa agizo hilo, Dk Shein ametaka vyombo vya sheria kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika watakaobainika kufanya matukio hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo kuchuana na DR Congo

Itakuwa mechi ya kwanza kati ya timu hizo mbili katika miaka 41 ambapo Congo iliishinda DR Congo 2-1 mjini Alezandria ,Misri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kosa la ubakaji — 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii ya ubakaji, nilisema kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kizimbani kwa ubakaji


NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ubakaji waongezeka Ilala

KILA siku wastani wa watoto watano wananajisiwa katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mkurugenzi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Gladnes Munuo alisema hayo jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani