Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachokozi kwenye mitandao kukomeshwa TZ

Mikasa ya watu kuibiwa na kudhalilishwa kwenye mitandao imekithiri TZ lakini mswaada mpya unatarajiwa kukomesha vitendo hivyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Gumzo kwenye mitandao ya kijamii

Kwani mtindo wa nywele au ushungi wa mtu unasema chochote kuhusu tabia au mwenendo wa mtu huyo?

 

10 years ago

Mtanzania

Matusi yamuondoa Jaden Smith kwenye mitandao ya kijamii

BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MTOTO wa nguli wa filamu nchini Marekani, Will Smith ambaye ni mwanamuziki wa hip hop na filamu, Jaden Smith, ameamua kujiondoa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kupokea ujumbe mbaya kutoka kwa mashabiki wake.
Msanii huyo aliyefikisha jumla ya mashabiki milioni tano katika akaunti yake ya Twitter, amesema sababu hiyo ndiyo iliyomtoa katika mtandao wa Twitter na sasa anajipanga kufunga kurasa zake katika mitandao mingine.
“Siyo lazima niendelee kutumia Twitter,...

 

9 years ago

Michuzi

BODI YA MIKOPO YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

AWAMU YA PILI YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO KWA 2015/2016

BODI  ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuutaarifu umma kuwa kuna taarifa zinazosambazwa na baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa Bodi haitatoa mikopo kwa waombaji wapya kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Taarifa hizo si za kweli na hivyo Bodi inauomba umma kuzipuuza.


Aidha, Bodi ya Mikopo inapenda kutoa taarifa kwamba hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye...

 

9 years ago

Bongo5

Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao

Rapper wa Tip Top Connection, Dogo Janja amesema yeye ni miongoni mwa watu ambao hawawezi kuwaweka wazi wapenzi wao kwenye mitandao. Dogo Janja ameiambia Bongo5 kuwa kitu anachoogopa ni kuanza kutupiana maneno wakati wanapoachana. “Unajua mapenzi ya kwenye mitandao ukigombana tu na mpenzi wako au mkikosana, watu wataanza kutupiana maneno ingawa kwa watu wengine haitokei,” […]

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

MARIA SARUNGI : Kinara wa mitandao ya kijamii anayesimama kwenye ukweli

Licha ya kuwa Watanzania wengi wameifahamu mitandao ya kijamii miaka michache iliyopita wapo ambao wamekuwa mstari wa mbele kuisukuma na kuifanya kuwa sehemu ya maisha ya watu wengi.

 

10 years ago

Vijimambo

MISS UGANDA AMEKERWA KWA COMMENT MBAYA KWENYE MITANDAO

Leah Kalanguka (kati kati) ndiye mshindi was Miss Unganda 2014  Leah amesema kuwa, Urembo si namna ya muonekano wa nje bali ni kilicho ndani ya mtu na kile anachoweza kuonesha dunia, huku akikazia kuwa yupo tayari kuiwakilisha nchi yake katika mashindano ya Miss World mwezi Desemba mwaka huu.

Kufuatia mrembo huyu kukosolewa sana mtandaoni, watu maarufu pia kama Bobi Wine na Anne Kansiime wamemtetea mrembo huyu na kutaka watu kuacha kumkosoa mrembo huyu bila kufahamu ni kwa namna gani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani