Wachokozi kwenye mitandao kukomeshwa TZ
Mikasa ya watu kuibiwa na kudhalilishwa kwenye mitandao imekithiri TZ lakini mswaada mpya unatarajiwa kukomesha vitendo hivyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
9 years ago
Michuzi28 Dec
10 years ago
Mtanzania06 May
Matusi yamuondoa Jaden Smith kwenye mitandao ya kijamii
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MTOTO wa nguli wa filamu nchini Marekani, Will Smith ambaye ni mwanamuziki wa hip hop na filamu, Jaden Smith, ameamua kujiondoa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kupokea ujumbe mbaya kutoka kwa mashabiki wake.
Msanii huyo aliyefikisha jumla ya mashabiki milioni tano katika akaunti yake ya Twitter, amesema sababu hiyo ndiyo iliyomtoa katika mtandao wa Twitter na sasa anajipanga kufunga kurasa zake katika mitandao mingine.
“Siyo lazima niendelee kutumia Twitter,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mnE4PZjSkog/VkCUMYIAchI/AAAAAAAIFAU/HERqdUg_NYg/s72-c/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
BODI YA MIKOPO YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
![](http://1.bp.blogspot.com/-mnE4PZjSkog/VkCUMYIAchI/AAAAAAAIFAU/HERqdUg_NYg/s640/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KasCgFTExCw/VkCTqUrAR2I/AAAAAAAIFAM/1SFgQEQTezY/s1600/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
AWAMU YA PILI YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO KWA 2015/2016BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuutaarifu umma kuwa kuna taarifa zinazosambazwa na baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa Bodi haitatoa mikopo kwa waombaji wapya kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Taarifa hizo si za kweli na hivyo Bodi inauomba umma kuzipuuza.
Aidha, Bodi ya Mikopo inapenda kutoa taarifa kwamba hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye...
9 years ago
Bongo527 Aug
Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao
10 years ago
Dewji Blog08 May
Tahadhari ya Tsunami inayosambazwa kwenye mitandao ya Jamii sio ya kweli
Tsunami.pdf by zainul_mzige21
10 years ago
Mwananchi26 Jul
MARIA SARUNGI : Kinara wa mitandao ya kijamii anayesimama kwenye ukweli
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XvbXKVEjimI/VFFxGDy7iwI/AAAAAAAAQvg/pKSBdd8kXU4/s72-c/ug2.jpg)
MISS UGANDA AMEKERWA KWA COMMENT MBAYA KWENYE MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XvbXKVEjimI/VFFxGDy7iwI/AAAAAAAAQvg/pKSBdd8kXU4/s1600/ug2.jpg)
Kufuatia mrembo huyu kukosolewa sana mtandaoni, watu maarufu pia kama Bobi Wine na Anne Kansiime wamemtetea mrembo huyu na kutaka watu kuacha kumkosoa mrembo huyu bila kufahamu ni kwa namna gani...