Ubalozi wa Marekani washambuliwa Uturuki
Watu wenye silaha wameufyatulia risasi ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Uturuki, Istanbul.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Ujumbe wa Uturuki Somalia washambuliwa
Raia watatu wa Somali waliuawa wawili kati yao wakiwa maafisa wa usalama baada ya gari lililokuwa na vilipuzi kugonga hoteli.
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Ubalozi wa K Kusini washambuliwa Libya
Watu wasiojulikana wameushambulia ubalozi wa Korea Kusini kwenye mji mkuu wa Libya Tripoli ambapo walinzi waliuawa.
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Marekani na Uturuki kufanya mazungumzo.
Marekani imethibitisha kuwa itaendeleza mazungumzo na Uturuki kuhusu kutoa majeshi yake yanayo pambana na kikosi cha kigaidi cha Islamic State huko magharibi mwa Syria.
10 years ago
Vijimambo04 Jul
NAFASI YA KAZI UBALOZI WA MAREKANI
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
PROCUREMENT AGENT (RE-ADVERTISED)ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.The US Embassy is seeking for an individual for the position of Procurement Agent in the General Services Section.BASIC FUNCTION OF POSITIONAs part of the Procurement Team, incumbent will be responsible for all acquisition requirements for Department of State – Dar es Salaam and other related government agencies....
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
10 kufidiwa mabomu Ubalozi wa Marekani
MIAKA 16 baada ya kutokea kwa mlipuko wa mabomu katika Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, imefahamika kuwa waathirika 10 ndio watakaolipwa fidia. Fedha zinazotarajiwa kulipwa kwa wathirika hao...
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Ubalozi wa marekani wafunguliwa Cuba
Sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani huko Cuba zimefanyika mjini Havana baada ya kuvunjika uhusiano yapata miaka 50 iliyopita
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Marekani yafunga ubalozi Libya
Marekani imeamua kufunga ubalozi wake mjini Tripoli ulio karibu na uwanja wa ndege ambako mapigano ni makali
11 years ago
MichuziMARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania