Ujumbe wa Uturuki Somalia washambuliwa
Raia watatu wa Somali waliuawa wawili kati yao wakiwa maafisa wa usalama baada ya gari lililokuwa na vilipuzi kugonga hoteli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Ubalozi wa Marekani washambuliwa Uturuki
Watu wenye silaha wameufyatulia risasi ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Uturuki, Istanbul.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais wa Uturuki awasili Somalia
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amewasili katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somali ambapo anafungua miradi ya ujenzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-awSxfKI-9GA/Xku5jbYjudI/AAAAAAALd3w/lzx8aRX7LNIE1BnS8qjDxmhBwLPnCCepwCLcBGAsYHQ/s72-c/65d7f83f-8848-45ef-a493-67ef2c81a9c3.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA APOKEA UJUMBE KUTOKA UTURUKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-awSxfKI-9GA/Xku5jbYjudI/AAAAAAALd3w/lzx8aRX7LNIE1BnS8qjDxmhBwLPnCCepwCLcBGAsYHQ/s640/65d7f83f-8848-45ef-a493-67ef2c81a9c3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/65d7f83f-8848-45ef-a493-67ef2c81a9c3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/154e58a3-a78c-4492-931c-fa927a2bc28f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/21334c9a-323d-42a5-a70e-b81c01d1a88e.jpg)
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amepokea ujumbe kutoka nchi ya uturuki. Ulioongozwa na meya wa uturuki Mr. Ekrem Yüce na Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof. Elizabeth K. Kiondo na mwenyeji wao Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Mhe. Ali Davutaglu.
Ujumbe umeonesha nia yao ni kufanya mazungumzo lenye lengo la nchi ya Uturuki kufanya uwekezaji nchini Tanzania.
Bashungwa amewaeleza jinsi Tanzania inavyoendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na biashara kwa...
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na ujumbe wa baraza la wafanyabiashara wa Uturuki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-wccUYzVFE/XkwMvN14AOI/AAAAAAAEFFc/-wJQR4iLGq4M6Yfn4AL1It3nDKQB3ZY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/rtf.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA APOKEA UJUMBE KUTOKA NCHINI UTURUKI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amepokea ujumbe kutoka nchi ya uturuki. Ulioongozwa na meya wa Uturuki Mr. Ekrem Yüce na Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof. Elizabeth K. Kiondo na mwenyeji wao Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Mhe. Ali Davutaglu.
Ujumbe umeonesha nia yao ni kufanya mazungumzo lenye lengo la nchi ya Uturuki kufanya uwekezaji nchini Tanzania.
Bashungwa amewaeleza jinsi Tanzania inavyoendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na biashara kwa...
Ujumbe umeonesha nia yao ni kufanya mazungumzo lenye lengo la nchi ya Uturuki kufanya uwekezaji nchini Tanzania.
Bashungwa amewaeleza jinsi Tanzania inavyoendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji na biashara kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RO5I4nwjHNU/VECBvGeVy8I/AAAAAAAGrGo/QLWIbAyIvwo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
UHISPANIA NA UTURUKI WACHUANA VIKALI NAFASI YA UJUMBE USIO WA KUDUMU WA BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA
Na Mwandishi Maalum, New York Wajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa , jana Alhamisi waliwapigia kura ya siri wajumbe watano wasio wa kudumu watakaojiunga na Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa kuanzia January Mosi 2015. Mataifa yaliyokuwa yanawania nafasi hizo kwa kuzingatia mgawanyo wa Kikanda ni nafasi moja kutoka nchi za Afrika, ambayo kwa sasa inashikiliwa na Rwanda, nafasi moja kwa kundi la nchi za Asia na Pacific ambayo kwa sasa inashikiliwa na Jamhuri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Waandamanaji washambuliwa Bangkok
Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa UN washambuliwa Syria
Maafisa sita wa kikosi cha Umoja wa Mataifa waliokuwa wanachunguza madai ya kutumiwa kwa gesi ya Chlorine nchini Syria pamoja na madereva watano wameshambuliwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania