Rais wa Uturuki awasili Somalia
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amewasili katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somali ambapo anafungua miradi ya ujenzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Ujumbe wa Uturuki Somalia washambuliwa
Raia watatu wa Somali waliuawa wawili kati yao wakiwa maafisa wa usalama baada ya gari lililokuwa na vilipuzi kugonga hoteli.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo
![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s640/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.
Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 May
Rais wa zamani wa Uturuki aaga dunia
Aliyekuwa rais wa Uturuki Kenan Evren ambaye aliongoza mapindunzi yaliyokumbwa na umwagikaji wa damu mwaka 1980 ameaga dunia
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya
Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Rais wa Uturuki aitisha uchaguzi mkuu
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ametangaza uchaguzi mkuu. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mosi mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Rais amzuia mwanamume kujiua Uturuki
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alimshawishi mwanamume aliyetaka kujiua kwa kujirusha kutoka kwa daraja kubadilisha nia yake.
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Uturuki: Kijana akamatwa kumtukana Rais
Polisi nchini Uturuki wanamshikilia mwanafunzi wa sekondari kwa tuhuma za kumtukana Rais Recep Tayyip Erdogan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania