Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki: Kijana akamatwa kumtukana Rais

Polisi nchini Uturuki wanamshikilia mwanafunzi wa sekondari kwa tuhuma za kumtukana Rais Recep Tayyip Erdogan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kijana akamatwa kwa mauaji London

Kijana mwenye umri wa miaka 15, amekamatwa na polisi kwa mauaji ya msichana mwenye umri sawa na wake mjini Londn, Uingereza

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI AFUNGWA JELA KWA KUMTUKANA RAIS KWENYE MTANDAONI

Mwanafunzi mmoja nchini Kenya amepewa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kumtukana rais wa Kenya Uhuru Kenyatta katika mtandao.Alan Wadiu Okengo mwenye umri wa miaka 25 pia atalipa faini ya dola 2,200 la sivyo ahudumie kifungo chengine cha mwaka mmoja.Alikuwa ameshtakiwa kwa kutoa matamshi ya chuki baada ya kusema kuwa watu wa kabila la rais la kikuyu wanafaa kuwekewa mipaka katika maeneo fulani.

Mwanablogu mashuhuri nchini humo pia alishtakiwa baada ya kumwita rais Uhuru Kenyatta 'rais ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Uturuki awasili Somalia

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amewasili katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somali ambapo anafungua miradi ya ujenzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani wa Madagascar akamatwa

Aliyekuwa rais wa Madagascar Marc Ravalomanana amekamatwa muda mfupi baada ya kurejea nyumbani kutoka uhamishoni kwa miaka mitano

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Maldives akamatwa

Makamu wa rais wa Maldives amekamatwa kuhusiana na jaribio la kumuua rais wa taifa hilo, waziri wa masuala ya ndani nchini humo amesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais amzuia mwanamume kujiua Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alimshawishi mwanamume aliyetaka kujiua kwa kujirusha kutoka kwa daraja kubadilisha nia yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Uturuki aitisha uchaguzi mkuu

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ametangaza uchaguzi mkuu. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mosi mwaka huu.

 

10 years ago

StarTV

Rais wa zamani wa Uturuki afariki dunia

Aliyekuwa rais wa Uturuki Kenan Evren ambaye aliongoza mapindunzi yaliyokumbwa na umwagikaji wa damu mwaka 1980 ameaga dunia kwenye hospitali moja mjini Ankara akiwa na umri wa miaka 97.

Mwaka uliopita alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kufuatia kuhusika kwake kwenye mapinduzi ya kijeshi.

Chini ya utawala wake watu kadha walinyongwa , maelfu wakakamatwa na vyama vya kisiasa vikapigwa marufuku.

Vyombo vya habari vilivyotangaza kinyume na mapinduzi hayo vilifungwa .

 

Generali Evren...

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya

Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani