Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UBISHI WA 25

Mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Shabani Mbegu
EMMANUEL Okwi ndiye mmiliki wa jezi namba 25 ndani ya Simba maana aliyoiacha Yanga tayari amekabidhiwa Mliberia Kpah Sherman ambaye ataitumia kama ilivyo kwake kwenye mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe, leo. Mechi inapigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar na ubishi ni namba 25 upande wa Yanga au Simba ndiyo hatari zaidi.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mwisho wa ubishi leo

Mtoto hatumwi dukani leo wakati vigogo wawili wa soka nchini Azam na Yanga watakaposhuka kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kusaka pointi tatu muhimu ikiwa ni mfululizo wa mechi za Kombe la Mapinduzi.

 

9 years ago

GPL

MAMA ZARI AMALIZA UBISHI!

MAMA mkwe wa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye pia ni mama mzazi wa mzazi mwenza wa staa huyo, Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’, Halima Hassan amempigia chapuo msanii huyo kwa kumpa baraka zote kwamba ndiye baba mzazi wa mtoto Latiffah ‘Tiffa’. Mama mzazi wa Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’, Halima Hassan akiwa na mjukuu wake. Kwa mujibu wa ‘yuda’ wa...

 

11 years ago

Habarileo

JK amaliza ubishi mashine za kodi

RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza msimamo wa Serikali, kwamba mashine za elektroniki za ukusanyaji kodi (EFDs), lazima ziendelee kutumika nchini. Alisema hayo jana wakati alipozungumza kwenye uzinduzi wa Ofisi za Mamlaka ya Bandari (TRA) mjini Karatu katika Mkoa wa Arusha, na kuongeza kuwa changamoto za mashine hizo zinajadilika.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamaliza ubishi wa Ney na Diamond

diamond nayNA MWANDISHI WETU

MASHABIKI jijini Arusha walimaliza ubishi uliokuwepo kati ya wasanii wa kizazi kipya, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’ na Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ waliokuwa wakibishana stejini kupitia wimbo wao wa ‘Mapenzi pesa ama Ujuzi’.

Tukio hilo lilitokea katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jumamosi iliyopita, wakati Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea urais.

Katika shoo yao hiyo iliyochengua mashabiki, Diamond alisimamia upande wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseba, Alibaba kumaliza ubishi leo

MABONDIA Japheth Kaseba wa Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo jioni watapanda ulingoni katika ukumbi wa Friends Corner, kumaliza ubishi wa nani zaidi baina yao kwa kusukuma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ziara ya mfalme wa Saudia Ufaransa yazua Ubishi

Ubishi wazuka nchini Ufaransa baada ya ufukwe wa umma kufungwa ilikumhakikishia mfalme wa Saudi Arabia usalama wake

 

10 years ago

Vijimambo

Magavilla on UBISHI Episode 4 - Mwananchi/ The Composition Challenge


One of the great opportunities that we have in accelerating the fortunes of this great country is addressing, what I like to refer to as, our ‘composition’ challenge; what kind of people make up our populous, in particular our youth, in terms of skills, competencies and values.

If you are making strides in life and form part of the top echelons of society, the plight of the bottom of the food chain may not be of particular interest to you – think again!

Irrespective of its composition, the...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!

Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mwandishi Wetu Hatimaye zile mbio za Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 zilizoanza Agosti 23, mwaka huu, leo zinafikia tamati ambapo wagombea wawili wenye msisimko wa aina yake, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Ngoyai Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanafunga kazi katika Majiji ya Mwanza na Dar. MAGUFULI MWANZA Baada ya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani