Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UBUNIFU.......

Muhindi yupo kazini katika kusaka hela katika mitaa ya Jiji la Roma nchini Italy, niliipenda sana hii....maana mpaka ugundue kuwa kaweka chuma linalopita mkononi linalopita mgongoni hadi kufika kwenye makalio ambako kuna kitako alichokalia, tayari utakuwa umefurahi sana...utafikiri kweli anaelea elea juu, kumbe ni mbinu na ubunifu tuu za kumpatia riziki.....hapa kupiga picha nae lazima uangushe hela (Euro) hapo chini kwenye kibakuri kidogo kilichopo mbele yake, na kuna mtu pembeni yake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...

 

9 years ago

Press

TECNO YAJA NA UBUNIFU ZAIDI

MAKAMPUNI yanayozalisha Simu nchini yameshauriwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika kusanifu na kuzalisha simu bora ili kwenda sambamba na soko na mahitaji ya wateja. 

IMG 1

Wito huo umetolewa na Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu aina ya Phantom 5 uliofanyika Dar es Salaam juzi.

Kadilana alisema soko la bidhaa zao linakuwa kwa kasi hususan barani Afrika hivyo wanafanya jitihada kuhakikisha wanakwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia.

“Soko la...

 

11 years ago

GPL

JOKATE AIBUKA NA UBUNIFU MPYA

Stori: Hamida Hassan MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ameibuka na ubunifu mpya wa sabuni ya kuogea inayokwenda kwa jina la Mo hiyo ikiwa ni baada ya kutesa na bidhaa ya ndala. Mwanamitindo Jokate Mwegelo. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Jokate alisema uzinduzi wa sabuni hiyo unatarajiwa kufanyika leo Jumatano, Juni 18, mwaka huu ambapo yeye na timu yake watatembea kwa miguu kutokea mjini (Posta) kuelekea Mbagala huku wakigawa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chenge: Serikali imekosa ubunifu

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge amesema Serikali imekosa ubunifu na haitaki kupokea ushauri kuhusiana na vyanzo vipya vya mapato.

 

10 years ago

Raia Mwema

Michuano ya Kagame imekosa ubunifu

PAZIA la michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Kagame Cup, lilifungwa mwishoni mwa wi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Uadilifu wahimizwa ubunifu wa majengo

MWENYEKITI wa Bodi ya Makandarasi (CRB), Dk Ambwene Mwakyusa ameitaka serikali kuangalia madeni ya wakandarasi kwa kazi walizofanya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubunifu wa huduma huimarisha biashara

UBUNIFU ni njia sahihi inayofanya  biashara kukua lakini pia husaidia katika usalama na uhakika wa biashara husika. Katika ubunifu mfanyabiashara  anapaswa  kuwa na wazo la tofauti kulingana na biashara anayoifanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani